Kusoma hadithi za kiswahili

Makedha

Senior Member
Sep 24, 2010
167
53
I was wondering if there were sites (like Fictionpress.net for example) where i can find stories, but in swahili. Do you know any? I'm looking for a good swahili novel/story to read, but i haven't found any until now...
 
Ngumu sana mamii... Vitabu vingi vya fasihi ya Kiswahili viko maktaba zetu katika mfumo wa hardcopy.... Niko intouch na TUKI, nitashauri kitu kama hicho kwenye kongamano lijalo. Ila kwa sasa tuendelee kutumia njia zilizopo, mfano, unaweza kuwa mwanachama wa TLS, ukipata muda utembelee maktaba zao Tanganyika nzima ujisomee vitabu.
 
Tunashukuru mphauvu kwani hata mimi nimekuwa mpenzi mzuri sana wa hizi stori za kiswahili kama wata weza kutuwekea kwenye tovuti nitafurahi sana thanks a lot
 
Tunashukuru mphauvu kwani hata mimi nimekuwa mpenzi mzuri sana wa hizi stori za kiswahili kama wata weza kutuwekea kwenye tovuti nitafurahi sana thanks a lot

Count on me, tukiwa tayari tutawataarifu, aidha kwa public announcement, au humu humu jamvini.
 
I was wondering if there were sites (like Fictionpress.net for example) where i can find stories, but in swahili. Do you know any? I'm looking for a good swahili novel/story to read, but i haven't found any until now...

Tafuta storika ukasome vitabu vya hadithi za kiswahili
 
Ngumu sana mamii... Vitabu vingi vya fasihi ya Kiswahili viko maktaba zetu katika mfumo wa hardcopy.... Niko intouch na TUKI, nitashauri kitu kama hicho kwenye kongamano lijalo. Ila kwa sasa tuendelee kutumia njia zilizopo, mfano, unaweza kuwa mwanachama wa TLS, ukipata muda utembelee maktaba zao Tanganyika nzima ujisomee vitabu.

Soma vitabu bila kikomo ndani siku 30 kwa tshs 3000. Storika
 
Back
Top Bottom