Kusoma (Formal) ni kupoteza muda ukiangalia kiuchumi (Economically wasting your time)

October man

JF-Expert Member
Nov 23, 2017
3,635
4,997
Kama dhumuni kufaidika kiuchumi Kusoma Tanzania ni kupoteza muda tu ukisoma hadi form 4 kuzidisha zaidi ya hapo ni kupoteza muda tu unamaliza muda bure tu kwa miaka 6 hadi kupata degree akifika mtaani huna connection ya maana inakuchukua miaka hata mitano (5) kutafuta Kazi, Connection, kuombaomba kazi, mi-interview, kusafirisafiri kufata interview, kujishikizashikiza mpaka unakuja kupata kazi yakuaminika inakuchukua miaka 5 inakuwa sawa miaka 11 umepoteza.

Hiyo miaka 11 Uki hustle unaweza kujenga uchumi zaidi ya uwo utaopata miaka yote ile uliyotaabika kusagala muda huwo wa miaka 11 unakuza biashara itayofikia hadi 10M kwa mwezi.

Kusoma kufaidika kiuchumi ni ujinga tu utapata ajira ila ukilinganisha na muda ni sawa na bure.

Elimu (Formal) inakupa uwezo wa kupambanua mambo uwezi linganisha na asiyesoma ila uwo uwezo bado unaweza pata kwa kusoma vitabu mbalimbali tu tena huko ndio utafaidika zaidi Biashara utawasoma wakina kiyosaki nk ila sio kupoteza muaka 11.

NB: katika goal la kufaidika kiuchumi elimu imetupotezea muda hapa duniani miaka 11 kwaajili ya kupata mshahara wa 800K kwa mwezi nawakati iyo miaka imeyengeneza mikampuni mikubwa inayoingiza Billion za pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonaje mwanao akimaliza form 4 asiendelee na masomo ili umfanyie hayo unayosema awe bilionea
 
Kama dhumuni kufaidika kiuchumi Kusoma Tanzania ni kupoteza muda tu ukisoma hadi form 4 kuzidisha zaidi ya hapo ni kupoteza muda tu unamaliza muda bure tu kwa 6 akifika mtaani huna connection ya maana inakuchukua miaka hata mitano (5) kutafuta Kazi, Commection, kuombaomba kazi, mi-interview, kusafirisafiri kufata interview, kujishikizashikiza mpaka unakuja kupata kazi yakuaminika inakuchukua miaka 5 inakuwa sawa miaka 11 umepoteza.

Hiyo miaka 11 Uki hustle unaweza kujenga uchumi zaidi ya uwo utaopata miaka yote ile uliyotaabika kusagala muda huwo wa miaka 11 unakuza biashara itayofikia hadi 10M kwa mwezi.

Kusoma kufaidika kiuchumi ni ujinga tu utapata ajira ila ukilinganisha na muda ni sawa na bure.

Elimu (Formal) inakupa uwezo wa kupambanua mambo uwezi linganisha na asiyesoma ila uwo uwezo bado unaweza pata kwa kusoma vitabu mbalimbali tu tena huko ndio utafaidika zaidi Biashara utawasoma wakina kiyosaki nk ila sio kupoteza muaka 11.

NB: katika goal la kufaidika kiuchumi elimu imetupotezea muda hapa duniani miaka 11 kwaajili ya kupata mshahara wa 800K kwa mwezi nawakati iyo miaka imeyengeneza mikampuni mikubwa inayoingiza Billion za pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea unasomea nini...... unataka kuwa daktari uishie form 4?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You might have a point mkuu. Sema nini hizi ni hoja za watu waliokosa ajira. Ajira ngumu kweli mtaani kama ulisoma soma tu kwa kufata mkumbo. Kazana utapata ajira uwe mtu wa kusuport formal education.

Anyway biashara unaweza kuanza sasa. It's never too late as long as you are alive.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You might have a point mkuu. Sema nini hizi ni hoja za watu waliokosa ajira. Ajira ngumu kweli mtaani kama ulisoma soma tu kwa kufata mkumbo. Kazana utapata ajira uwe mtu wa kwanza unaesuport formal education.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeandika pale hata ukipata ajira faida yake mshahara nk bado mdogo uki-conpare na hustle unamenyeka sana unachokuja kupata hakiendani na msoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeandika pale hata ukipata ajira faida yake mshahara nk bado mdogo uki-conpare na hustle unamenyeka sana unachokuja kupata hakiendani na msoto.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata uandishi tu unakupa tabu na bado unabeza elimu ya juu, kama elimu ilikupita kando kubali tu kisha jikite huko kwenye ubilionea.... acha ‘ku-conpare’ utazidi kupoteza muda.
 
Ujaelewa wapi mkuu mimi jukumu langu kumsonesha mtoto hadi chuo na silingine sasa endapo amemaliza 4 au 6 ananiambia BABA sitaki kuendelea nataka nikafunge mzigo china nije kuuza kariakoo mimi namtimizia tu kama ajasema namsomesha.

Wapi uwelewi Mkuu.
Umeona mwenyewe unavyopata kigugumizi kuamua
Mtoto aliyemaliza form four unadhani mwenyewe anaweza kufanya maamuzi sahihi katika jambo gumu kama hilo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikate tamaa mkuu ...

Nakubali elimu yetu inahitaji major reforms..but nani wa kumshtua mama Ndalichako?? Maana kalala usingizi mnono vijana wanaendelea kukosa matumaini,,, mada yako ni nzuri ila jua haitamake impact yeyote as wahusika wako passive wamekaa tuliiiii mada/topics zinaishia kwenye makabati ya JamiiForums
 
Ma-lecturers wakale wapi?(hahahaaaa just kidding).Wakikusikiaaaa....!
Kama dhumuni kufaidika kiuchumi Kusoma Tanzania ni kupoteza muda tu ukisoma hadi form 4 kuzidisha zaidi ya hapo ni kupoteza muda tu unamaliza muda bure tu kwa miaka 6 hadi kupata degree akifika mtaani huna connection ya maana inakuchukua miaka hata mitano (5) kutafuta Kazi, Connection, kuombaomba kazi, mi-interview, kusafirisafiri kufata interview, kujishikizashikiza mpaka unakuja kupata kazi yakuaminika inakuchukua miaka 5 inakuwa sawa miaka 11 umepoteza.

Hiyo miaka 11 Uki hustle unaweza kujenga uchumi zaidi ya uwo utaopata miaka yote ile uliyotaabika kusagala muda huwo wa miaka 11 unakuza biashara itayofikia hadi 10M kwa mwezi.

Kusoma kufaidika kiuchumi ni ujinga tu utapata ajira ila ukilinganisha na muda ni sawa na bure.

Elimu (Formal) inakupa uwezo wa kupambanua mambo uwezi linganisha na asiyesoma ila uwo uwezo bado unaweza pata kwa kusoma vitabu mbalimbali tu tena huko ndio utafaidika zaidi Biashara utawasoma wakina kiyosaki nk ila sio kupoteza muaka 11.

NB: katika goal la kufaidika kiuchumi elimu imetupotezea muda hapa duniani miaka 11 kwaajili ya kupata mshahara wa 800K kwa mwezi nawakati iyo miaka imeyengeneza mikampuni mikubwa inayoingiza Billion za pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama dhumuni kufaidika kiuchumi Kusoma Tanzania ni kupoteza muda tu ukisoma hadi form 4 kuzidisha zaidi ya hapo ni kupoteza muda tu unamaliza muda bure tu kwa miaka 6 hadi kupata degree akifika mtaani huna connection ya maana inakuchukua miaka hata mitano (5) kutafuta Kazi, Connection, kuombaomba kazi, mi-interview, kusafirisafiri kufata interview, kujishikizashikiza mpaka unakuja kupata kazi yakuaminika inakuchukua miaka 5 inakuwa sawa miaka 11 umepoteza.

Hiyo miaka 11 Uki hustle unaweza kujenga uchumi zaidi ya uwo utaopata miaka yote ile uliyotaabika kusagala muda huwo wa miaka 11 unakuza biashara itayofikia hadi 10M kwa mwezi.

Kusoma kufaidika kiuchumi ni ujinga tu utapata ajira ila ukilinganisha na muda ni sawa na bure.

Elimu (Formal) inakupa uwezo wa kupambanua mambo uwezi linganisha na asiyesoma ila uwo uwezo bado unaweza pata kwa kusoma vitabu mbalimbali tu tena huko ndio utafaidika zaidi Biashara utawasoma wakina kiyosaki nk ila sio kupoteza muaka 11.

NB: katika goal la kufaidika kiuchumi elimu imetupotezea muda hapa duniani miaka 11 kwaajili ya kupata mshahara wa 800K kwa mwezi nawakati iyo miaka imeyengeneza mikampuni mikubwa inayoingiza Billion za pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika uharo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama dhumuni kufaidika kiuchumi Kusoma Tanzania ni kupoteza muda tu ukisoma hadi form 4 kuzidisha zaidi ya hapo ni kupoteza muda tu unamaliza muda bure tu kwa miaka 6 hadi kupata degree akifika mtaani huna connection ya maana inakuchukua miaka hata mitano (5) kutafuta Kazi, Connection, kuombaomba kazi, mi-interview, kusafirisafiri kufata interview, kujishikizashikiza mpaka unakuja kupata kazi yakuaminika inakuchukua miaka 5 inakuwa sawa miaka 11 umepoteza.

Hiyo miaka 11 Uki hustle unaweza kujenga uchumi zaidi ya uwo utaopata miaka yote ile uliyotaabika kusagala muda huwo wa miaka 11 unakuza biashara itayofikia hadi 10M kwa mwezi.

Kusoma kufaidika kiuchumi ni ujinga tu utapata ajira ila ukilinganisha na muda ni sawa na bure.

Elimu (Formal) inakupa uwezo wa kupambanua mambo uwezi linganisha na asiyesoma ila uwo uwezo bado unaweza pata kwa kusoma vitabu mbalimbali tu tena huko ndio utafaidika zaidi Biashara utawasoma wakina kiyosaki nk ila sio kupoteza muaka 11.

NB: katika goal la kufaidika kiuchumi elimu imetupotezea muda hapa duniani miaka 11 kwaajili ya kupata mshahara wa 800K kwa mwezi nawakati iyo miaka imeyengeneza mikampuni mikubwa inayoingiza Billion za pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ulifeli, unaji console bure
 
Back
Top Bottom