mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Jamani kutumia muda wa ziada ambao ni nje ya kazi ama ukajiendeleza kimasomo kwa week end na ukawa unajilipia mwenyewe bila ya kumtarifu muajiri wako.
jee hili ni kosa?
na jeee ukipeleka vyeti kuongezewa mshahara anayohaki ya kukunyima nyongeza?
kwa kua hukumuomba ruhusa
Wanasheria dadavueni kwa hoja za kisheria
Natanguliza shukrani
jee hili ni kosa?
na jeee ukipeleka vyeti kuongezewa mshahara anayohaki ya kukunyima nyongeza?
kwa kua hukumuomba ruhusa
Wanasheria dadavueni kwa hoja za kisheria
Natanguliza shukrani