Kusingekuwepo na CHADEMA tungekuwa tushatumbukia kwenye shimo la udikteta

lendila

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
5,806
4,370
Kusingekuwepo na chadema,tungekuwa tushatumbukia kwenye shimo refu lenye utelezi mkali, tungekuwa tumeshazama kwenye shimo la udkter,mwalimu nyerere alikuwa na mtazamo wa mbali sana,mwalimu nyerere aliona hatari ya kuendekea kuwa na chama kimoja,hatari yake ni udikter, nyerere alishawai kusema kuwa tukiwa waoga kukosa viongozi wetu wanavyovunja sheria na kusema viongozi wetu ni wakali sana mpaka ndani ya bunge ,ipo siku tutatawaliwa na dikter,na kwa hali ilivyo kwa sasa,ndani ya bunge na nnje ya bunge kama sio chadema tungekuwa tushanasa muda mrefu sana, tungenasa kwenye tope zito la udketr,chadema wamechangia sana nchii hii kwa sasa isitumbukie kwenye udikter
Mungu ni mwema,amremu mwalimu nyerere kwa kutuletea vyama vyingi,mungu awajalie wote maisha mema na marefu wale wote waliompa mwal.nyerere utakatifu
 
Kusingekuwepo na chadema,tungekuwa tushatumbukia kwenye shimo refu lenye utelezi mkali, tungekuwa tumeshazama kwenye shimo la udkter,mwalimu nyerere alikuwa na mtazamo wa mbali sana,mwalimu nyerere aliona hatari ya kuendekea kuwa na chama kimoja,hatari yake ni udikter, nyerere alishawai kusema kuwa tukiwa waoga na kusema viongozi wetu ni wakali sana,ipo siku tutatawaliwa na dikter,na kwa hali ilivyo kwa sasa,ndani ya bunge na nnje ya bunge kama sio chadema tungenguwa tushanasa muda mrefu sana, tungenasa kwenye tope zito la udketr,chadema wamechangia sana nchii hii kwa sasa isitumbukie kwenye udikter
Mungu ni mwema,amremu mwalimu nyerere kwa kutuletea vyama vyingi,mungu awajalie wote maisha mema na marefu wale wote wakiompa mwal.nyerere utakatifu
Danger alert iko kwenye 75%
 
Kusingekuwepo na chadema,tungekuwa tushatumbukia kwenye shimo refu lenye utelezi mkali, tungekuwa tumeshazama kwenye shimo la udkter,mwalimu nyerere alikuwa na mtazamo wa mbali sana,mwalimu nyerere aliona hatari ya kuendekea kuwa na chama kimoja,hatari yake ni udikter, nyerere alishawai kusema kuwa tukiwa waoga kukosa viongozi wetu wanavyovunja sheria na kusema viongozi wetu ni wakali sana mpaka ndani ya bunge ,ipo siku tutatawaliwa na dikter,na kwa hali ilivyo kwa sasa,ndani ya bunge na nnje ya bunge kama sio chadema tungekuwa tushanasa muda mrefu sana, tungenasa kwenye tope zito la udketr,chadema wamechangia sana nchii hii kwa sasa isitumbukie kwenye udikter
Mungu ni mwema,amremu mwalimu nyerere kwa kutuletea vyama vyingi,mungu awajalie wote maisha mema na marefu wale wote waliompa mwal.nyerere utakatifu
Chadema au UKAWA!
 
Vipi kuhusu chairman wenu?
Mwenyekiti wetu hana miaka mingi sana kama lipumba,au marema,mpaka afikishe miaka ya mrema,cheo na wengine,lkn usisahau kuwa chadema ndicho chama kilichoongozwa na wenyeviti wengi kuliko chama chochote cha siasa,chama kina miaka 25 wenyeviti 3,cmm inamiaka 70 wenyeviti 4
 
Mwenyekiti wetu hana miaka mingi sana kama lipumba,au marema,mpaka afikishe miaka ya mrema,cheo na wengine,lkn usisahau kuwa chadema ndicho chama kilichoongozwa na wenyeviti wengi kuliko chama chochote cha siasa,chama kina miaka 25 wenyeviti 3,cmm inamiaka 70 wenyeviti 4
Ha ha haaa. Ukiwa unatetea ujinga unakuwa unapata tabu sana. JPM ni Raisi wa Tanzania kwa muda gani ? na ni mwenyekiti wa CCM kwa muda gani? THEN Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda gani? Then ukishajibu haya tuambie nani ni Dikteta.
 
Ha ha haaa. Ukiwa unatetea ujinga unakuwa unapata tabu sana. JPM ni Raisi wa Tanzania kwa muda gani ? na ni mwenyekiti wa CCM kwa muda gani? THEN Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda gani? Then ukishajibu haya tuambie nani ni Dikteta.
 
Ha ha haaa. Ukiwa unatetea ujinga unakuwa unapata tabu sana. JPM ni Raisi wa Tanzania kwa muda gani ? na ni mwenyekiti wa CCM kwa muda gani? THEN Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA kwa muda gani? Then ukishajibu haya tuambie nani ni Dikteta.
Kwa taarifa yako chedema ndio chama pekee chenye muda mfupi lkn chenye wenyeviti wengi waliowai kukiongoza kuliko chama chochote,chama ina miaka 25 imeongozwa na vinyeviti 3 swali ccm ina miaka 70 imeongozwa na wenyeviti wangapi?
Pigie kelele mrema lipumba cheo na kina dovutwa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hivi labda niulize, Chancellor Angela Merkel au Benjamin Netanyahu wamekaa madarakani muda gani na ktk uongozi wao kuna any element of dictatorship?

Je, mbona huu utawala umekaa less than two years lkn tayari there is cries everywhere. Angalia kuna tight control of the media, freedom of expression is curtailed, political parties are not allowed to operate, parliament has been reduced to a mere rubbers stamp one.etc, etc.

Hamlitendei haki hili jukwaa kwa kuleta hoja Kama hizi zinazozidi kidhihirisha kuwa kweli watanzania IQ yetu kweli ni kiduchu.
 
Kwa taarifa yako chedema ndio chama pekee chenye muda mfupi lkn chenye wenyeviti wengi waliowai kukiongoza kuliko chama chochote,chama ina miaka 25 imeongozwa na vinyeviti 3 swali ccm ina miaka 70 imeongozwa na wenyeviti wangapi?
Pigie kelele mrema lipumba cheo na kina dovutwa

Wacha kuruka ruka wewe jibu swali rahisi tu. Magufuli ana mda gani kama mwenyekiti wa CCM na Mbowe ana muda gani kama Mwenyekiti wa CHADEMA? Na kati ya hao nani ni Dikteta?
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom