mastersajenti
Senior Member
- Dec 4, 2015
- 165
- 23
Watanzania napenda nimpongeze Mh.Rais Magufuli Kwa hatua ya kumsimamisha Kazi Kamishna Mkuu TRA Kwa kuhusika Na upotevu Wa makontena Na ukwepaji mkubwa Wa kodi.Swali langu je Bodi ya TRA ilikuwa wapi mpaka Rais agundue wizi huo?Kwa kitendo cha Rais kugundua wizi in dhahili Bodi imezembea nilitarajia Na Bodi ingevunjwa Mara moja.