The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
Mtu hawezi sema anawaheshimu wananchi bila kuheshimu kura zao..
Kulazimisha matokeo ambayo yapo kinyume na wananchi watakavyopiga kura sio Tu ni dharau Kwa wananchi vile vile ni uthibitisho kuwa wananchi hawasikilizwi kabisa...
Kama mnajiamini mmefanya makubwa
Kwa kujenga flyover
Na kununua ndege na mengineyo
Basi wapeni wananchi nafasi watakapopiga kura muone hisia za wananchi...
Vinginenevyo kama mnaona wananchi 'hawana shukran na hawana akili ya kuona mliyoyafanya' basi mfute Tu uchaguzi ...
Mtangaze mtaendelea bila uchaguzi...
Kulazimisha matokeo ambayo yapo kinyume na wananchi watakavyopiga kura sio Tu ni dharau Kwa wananchi vile vile ni uthibitisho kuwa wananchi hawasikilizwi kabisa...
Kama mnajiamini mmefanya makubwa
Kwa kujenga flyover
Na kununua ndege na mengineyo
Basi wapeni wananchi nafasi watakapopiga kura muone hisia za wananchi...
Vinginenevyo kama mnaona wananchi 'hawana shukran na hawana akili ya kuona mliyoyafanya' basi mfute Tu uchaguzi ...
Mtangaze mtaendelea bila uchaguzi...