Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,110
- 26,997
Bado sijajua kipi hasa kimewakumba wasanii wetu, kiukweli wasanii wanaofanya kazi serious ni wachache sana watu wamebaki kusifia video tu!
Nikisikiliza na kuangalia hizo top 10/20 zao huwa huwa hata sielewi wanaimba nini! Hapa hata ukiniambia nitaje ngoma kali 10 tu kwa sasa siwezi kufikisha hata 3, sijui bongo fleva inaenda wapi!
Ukirudi mtaani wengi wanasikiliza old skul za miaka ya 2000, ukiwauliza kulikoni wanadai muziki ulikuwa zamani!
Mimi mwenyewe 80% ya bongo fleva nilizonazo ni oldies, playlist yangu mara nyingi inabeba oldies!
Ninachojiuliza kipi kimekumba muziki wetu, kwanini hakuna ngoma kali tena? Kwanini nyimbo zinakaa wiki mbili zinapotea? Je inawezekana media zinawabeba wasanii wabovu na kuwaacha wale wakali??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikisikiliza na kuangalia hizo top 10/20 zao huwa huwa hata sielewi wanaimba nini! Hapa hata ukiniambia nitaje ngoma kali 10 tu kwa sasa siwezi kufikisha hata 3, sijui bongo fleva inaenda wapi!
Ukirudi mtaani wengi wanasikiliza old skul za miaka ya 2000, ukiwauliza kulikoni wanadai muziki ulikuwa zamani!
Mimi mwenyewe 80% ya bongo fleva nilizonazo ni oldies, playlist yangu mara nyingi inabeba oldies!
Ninachojiuliza kipi kimekumba muziki wetu, kwanini hakuna ngoma kali tena? Kwanini nyimbo zinakaa wiki mbili zinapotea? Je inawezekana media zinawabeba wasanii wabovu na kuwaacha wale wakali??
Sent using Jamii Forums mobile app