Kushindwa kwenda Nairobi hadi sasa kwa viongozi wengi wa CCM na Serikali kunatoa picha gani kwa umoja wa Kitaifa?

Tulikuzwa na kulelewa kuwa Tanzania ni yetu sote na kwamba Tanzania ni moja na sisi ni ndugu, tulikuzwa katika kuondoa tofauti zetu na kusameana wakati wa shida na raha.

Leo imekuwaje tukio la kuugua mwenzetu Nairobi wafanyakazi wenzake wameshindwa kwenda kumjulia hali?Viongozi wa kitaifa wakiwemo wastaafu mmeshindwa kweli kufika Nairobi hadi Leo?

Endapo baba au mlezi akijitenga na mwanaye hasa kwenye matatizo inaleta picha gani kwa ustawi wa familia husika?

Nijuavyo ugonjwa hauna dini,kabila,ukanda,rangi wala itikadi. Mkishindwa katika hili na mkae kimya katika yote.....
maccm haya hayajielewi lakni
by tundu lisu MACCM , YANAJIRNDEA TU. lakini hao maccm ndo yaliyompatia msaada mapka nairobi
 
Kwani mliposhindwa kwenda kwenye futari aliyoiandaa waziri mkuu ilikuwa inaleta picha gani kwenye umoja wa kitaifa..msitafute huruma ya wananchi pambaneni na hali zenu..
 
Tulikuzwa na kulelewa kuwa Tanzania ni yetu sote na kwamba Tanzania ni moja na sisi ni ndugu, tulikuzwa katika kuondoa tofauti zetu na kusameana wakati wa shida na raha.

Leo imekuwaje tukio la kuugua mwenzetu Nairobi wafanyakazi wenzake wameshindwa kwenda kumjulia hali?Viongozi wa kitaifa wakiwemo wastaafu mmeshindwa kweli kufika Nairobi hadi Leo?

Endapo baba au mlezi akijitenga na mwanaye hasa kwenye matatizo inaleta picha gani kwa ustawi wa familia husika?

Nijuavyo ugonjwa hauna dini,kabila,ukanda,rangi wala itikadi. Mkishindwa katika hili na mkae kimya katika yote.....
Siyo rahisi upange kumwua mtu halafu ufike hospital kumjulia hali!
 
Sitta alivyoenda India kwani kuna viongozi walienda kumuona

Kikwete alivyoenda kutibiwa USA kuna viongozi walienda kumuona

Kwann alikataa kutibiwa nyumbani..

Mbona magufuli alimtembelea sumaye alivyougua ,major jenerali na wengi tu

Kupoteza resources kwenda Kenya wakati hapa nyumbani angetibiwa bure na kutembelewa
As if ur digging from ur pocket - eti resources. Pandeni mbegu ya chuki soon mtaona matunda yake.

Kuna watu walifanya kazi kubwa mno kutengeneza huu umoja wetu ndiyo maana hata ninyi mnakula na mnatanua hadi kupitiliza na kuona kuna baadhi ya watu hawastahili kuishi duniani kwa kosa tu la kutofautiana nanyi ki mtazamo.
 
Tulikuzwa na kulelewa kuwa Tanzania ni yetu sote na kwamba Tanzania ni moja na sisi ni ndugu, tulikuzwa katika kuondoa tofauti zetu na kusameana wakati wa shida na raha.

Leo imekuwaje tukio la kuugua mwenzetu Nairobi wafanyakazi wenzake wameshindwa kwenda kumjulia hali?Viongozi wa kitaifa wakiwemo wastaafu mmeshindwa kweli kufika Nairobi hadi Leo?

Endapo baba au mlezi akijitenga na mwanaye hasa kwenye matatizo inaleta picha gani kwa ustawi wa familia husika?

Nijuavyo ugonjwa hauna dini,kabila,ukanda,rangi wala itikadi. Mkishindwa katika hili na mkae kimya katika yote.....
Ndo maajabu hayo. Lakini ingekuwa ni kwenye msiba/mazishi yake, wangeenda wote na misafara na nyuso za bashasha wakiwa wamebeba rambirambi.
 
Back
Top Bottom