Royals
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,466
- 378
Tulipodhani dharau, matusi, kejeli na jeuri ya pess kama ni njia ya kushinds uchaguzi kumbe wenzetu waliliona hilo na kuamua kusema ukweli wa mambo jambo lililowafanya wameru wale wawaamini.
Siku ya ufunguzi walipomskiliza katibu mkuu na mzee Mkapa wakihangaika jukwaani wao walisema waache waseme mchana usiku watalala.
Akina Mwigulu, Lusinde, Olesendeka na wengine wengi wa CCM wakijinadi kwa hayo Wameru. wale waliona hamnazo na kufikia kusema " KULA KWA CCM, KULALA CHADEMA" Tafsiri yai ilikuwa kwa kule Ccm kunaliwa basi waliwaita nendeni, wakichekesha jikwaani chekeni lakini mjue siku ys siku mtalalia wapi.
Kama kungekuwa na busara hata kidogo tu ya kupinguza matusi yale basi bila shaka udhindi ungekuwa wetu. Hata hivyo asiye sika la mkuu huvunjika .......
Siku ya ufunguzi walipomskiliza katibu mkuu na mzee Mkapa wakihangaika jukwaani wao walisema waache waseme mchana usiku watalala.
Akina Mwigulu, Lusinde, Olesendeka na wengine wengi wa CCM wakijinadi kwa hayo Wameru. wale waliona hamnazo na kufikia kusema " KULA KWA CCM, KULALA CHADEMA" Tafsiri yai ilikuwa kwa kule Ccm kunaliwa basi waliwaita nendeni, wakichekesha jikwaani chekeni lakini mjue siku ys siku mtalalia wapi.
Kama kungekuwa na busara hata kidogo tu ya kupinguza matusi yale basi bila shaka udhindi ungekuwa wetu. Hata hivyo asiye sika la mkuu huvunjika .......