lema prince
New Member
- Mar 2, 2012
- 4
- 0
Ni kijana wa miaka 38, tatizo langu kubwa ni kushindwa kuzuia mkojo hasa nyakati za baridi au nikinywa maji mengi, sikua hivi mwanzo lakini nashindwa imetokana na nini. Mkojo unakuja kwa ghafla sana kias kwamba kama upo mbali na mazingira ya kujisitiri haja basi unapenya kidogo au sana , nashindwa kuelewa wana jamvi wenzangu mnisaidie ushaur
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app