Mtoto wa Mbwa
Member
- Apr 29, 2012
- 6
- 1
Mimi ni kijana wa miaka 26, mara nyingi nakuwa na urafiki na watu wazima wenye umri wa kuanzia miaka 35. Hata wao nawaona wana enjoy kuwa na mie kwa kubadilishana mawazo na masualaya kirafiki. Lakini napokuwa na agemets wangu tunapishana sana mawazo, hata suala la mahusiana naenjoya zaidi nikiwa na mtu anaenizidi umri, tatizo nini??? :fear: