Dr.philosophy
Senior Member
- Oct 12, 2012
- 122
- 27
Wadau habar za kazi..nilikuwa naomba kujua Ni utaratibu gani wa kufuata kwa mtu aliekosa mtihani wa supplementary chuo kikuu Cha UDSM kwa changamoto za kiafya.
Nina ndugu yangu alitakiwa afanye mtihani leo asubuh..Sasa usiku alipata shida ya kiafya..huwa Ana matatizo flan ya kiafya akashindwa kuattend kwenye mtihan.
Sasa naomba kujua Ni hatua gan afuate ili anusurike wakuu..msaada wa mawazo tafadhali.
Natanguliza shukran
Nina ndugu yangu alitakiwa afanye mtihani leo asubuh..Sasa usiku alipata shida ya kiafya..huwa Ana matatizo flan ya kiafya akashindwa kuattend kwenye mtihan.
Sasa naomba kujua Ni hatua gan afuate ili anusurike wakuu..msaada wa mawazo tafadhali.
Natanguliza shukran