Uchaguzi 2020 Kushinda na kushindwa vyote ni demokrasia

WALEO JOHN

Member
Jun 17, 2015
11
6
Sisi ni Taifa moja lenye umoja mshikamano, lenye lugha moja upendo na amani, lenye kuamini usawa na demokrasia,
Tuzingatie umoja wetu mwaka huu wa uchaguzi,
Isije kuwa mpinzani akishidwa basi si demokrasia, na mtawala akishinda vivyo hivyo.
Kushindwa na kushinda vyote ni demokrasia.
Naipenda Tanzania ya leo
 
Sisi ni Taifa moja lenye umoja mshikamano, lenye lugha moja upendo na amani, lenye kuamini usawa na demokrasia,
Tuzingatie umoja wetu mwaka huu wa uchaguzi,
Isije kuwa mpinzani akishidwa basi si demokrasia, na mtawala akishinda vivyo hivyo.
Kushindwa na kushinda vyote ni demokrasia.
Naipenda Tanzania ya leo
naunga mkono
 
Sisi ni Taifa moja lenye umoja mshikamano, lenye lugha moja upendo na amani, lenye kuamini usawa na demokrasia,
Tuzingatie umoja wetu mwaka huu wa uchaguzi,
Isije kuwa mpinzani akishidwa basi si demokrasia, na mtawala akishinda vivyo hivyo.
Kushindwa na kushinda vyote ni demokrasia.
Naipenda Tanzania ya leo
And vice versa is true.
 
..CCM wanaamini demokrasia maana yake ni wao kushinda na si vinginevyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom