WALEO JOHN
Member
- Jun 17, 2015
- 11
- 6
Sisi ni Taifa moja lenye umoja mshikamano, lenye lugha moja upendo na amani, lenye kuamini usawa na demokrasia,
Tuzingatie umoja wetu mwaka huu wa uchaguzi,
Isije kuwa mpinzani akishidwa basi si demokrasia, na mtawala akishinda vivyo hivyo.
Kushindwa na kushinda vyote ni demokrasia.
Naipenda Tanzania ya leo
Tuzingatie umoja wetu mwaka huu wa uchaguzi,
Isije kuwa mpinzani akishidwa basi si demokrasia, na mtawala akishinda vivyo hivyo.
Kushindwa na kushinda vyote ni demokrasia.
Naipenda Tanzania ya leo