Elections 2010 KUSHINDA MTIHANI BILA MAANDALIZI!! Ni imani za gizani.

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
Nimeendelea kufungua threads nyingi za uchaguzi na kuzisoma, kinachonishangaza ni watu wengi kuwa na imani za gizani, ati CHADEMA ishinde uchaguzi wa kiti cha Urais bila maandalizi! Mimi nadhani hilo likitokea ujue pia hakuna taifa hapa.

Kuna washabiki wanaamini CHADEMA itashinda urais, kwangu mimi hiyo ni sawa na kwenda kwenye mtihani wa Hisabati bila maandalizi alafu unadhani utashinda.

CHADEMA yenyewe kwa wakati tofauti wameelezea nia yao ya kusimamisha mgombea urais kwamba ni kwa ajili ya kuongeza viti vya ubunge na sio zaidi ya hapo.

Hivi nani wa kumsaidia Dr. Slaa kwenye mbio za Urais kama Mnyika, Zitto, Mbowe nk watakuwa busy kutafuta ugali wa 12,000.000/- per month za bunge... CCM ina wabunge ambao wapita bila kupingwa... hivyo wanauwezo wakumsaidia mgombea wao wa urais na wagombea wa ubunge wasiouzika... lets face the facts.

Hata kama CCM haikubaliki, au haijafanya kitu, lakini wenzenu wanalijua hilo na wamejiandaa kuingia kwenye uchaguzi.

Strategy ya CHADEMA iwe kuchukua ubunge kwenye majimbo wanapojiamini... lakini waaache kupoteza resources nyingi pale ambapo hakuna tija... maana matokea yake itakuwa mtafaruku baada ya uchaguzi.

Navitakia vyama vyome uchaguzi mwema... mimi nitakuwa CHINA wakati wa uchaguzi hivyo kura yangu haitakuwepo kwenye hesabu.
 
Nimeendelea kufungua threads nyingi za uchaguzi na kuzisoma, kinachonishangaza ni watu wengi kuwa na imani za gizani, ati CHADEMA ishinde uchaguzi wa kiti cha Urais bila maandalizi! Mimi nadhani hilo likitokea ujue pia hakuna taifa hapa.

Kuna washabiki wanaamini CHADEMA itashinda urais, kwangu mimi hiyo ni sawa na kwenda kwenye mtihani wa Hisabati bila maandalizi alafu unadhani utashinda.


CHADEMA yenyewe kwa wakati tofauti wameelezea nia yao ya kusimamisha mgombea urais kwamba ni kwa ajili ya kuongeza viti vya ubunge na sio zaidi ya hapo.

Hivi nani wa kumsaidia Dr. Slaa kwenye mbio za Urais kama Mnyika, Zitto, Mbowe nk watakuwa busy kutafuta ugali wa 12,000.000/- per month za bunge... CCM ina wabunge ambao wapita bila kupingwa... hivyo wanauwezo wakumsaidia mgombea wao wa urais na wagombea wa ubunge wasiouzika... lets face the facts.

Hata kama CCM haikubaliki, au haijafanya kitu, lakini wenzenu wanalijua hilo na wamejiandaa kuingia kwenye uchaguzi.

Strategy ya CHADEMA iwe kuchukua ubunge kwenye majimbo wanapojiamini... lakini waaache kupoteza resources nyingi pale ambapo hakuna tija... maana matokea yake itakuwa mtafaruku baada ya uchaguzi.

Navitakia vyama vyome uchaguzi mwema... mimi nitakuwa CHINA wakati wa uchaguzi hivyo kura yangu haitakuwepo kwenye hesabu.

Sikupingi hoja zako ila hapo kwenye blue naona umeteleza kidogo.

Kuna wengine wetu hisabati ni sawa mamba kuogelea mtoni........Ziko damuni tu, hamna haja ya maandalizi wala nini.
 
Mzee watakupa onyo sasa hivi,unachezea chama la waliopitia shule!
 
Kuna wengine wetu hisabati ni sawa mamba kuogelea mtoni........Ziko damuni tu, hamna haja ya maandalizi wala nini.

Hesabu sawa, lakini Hisabati, Big No.

Yap, moja ya kitu JK anapenda kiwepo ni kutofautiana mawazo bila kurushiana ngumi!
 
Nimeendelea kufungua threads nyingi za uchaguzi na kuzisoma, kinachonishangaza ni watu wengi kuwa na imani za gizani, ati CHADEMA ishinde uchaguzi wa kiti cha Urais bila maandalizi! Mimi nadhani hilo likitokea ujue pia hakuna taifa hapa.

Kuna washabiki wanaamini CHADEMA itashinda urais, kwangu mimi hiyo ni sawa na kwenda kwenye mtihani wa Hisabati bila maandalizi alafu unadhani utashinda.

CHADEMA yenyewe kwa wakati tofauti wameelezea nia yao ya kusimamisha mgombea urais kwamba ni kwa ajili ya kuongeza viti vya ubunge na sio zaidi ya hapo.

... mimi nitakuwa CHINA wakati wa uchaguzi hivyo kura yangu haitakuwepo kwenye hesabu.
Kwani hiyo strategy ya kuongeza wabunge wewe unaionaje hailipi.

Ukifika huko China msalimie rafiki yangu Hu Jintao au kwa lugha ya kwetu huwa tunamuita 胡锦涛 mwambie anasalimiwa na muumini wao Tingatinga bado anavaa kaunda suti zao ila mambo huku ni magumu sana.
 
MWANAUME WA SHOKA UTAMTAMBUA PALE ANAPOMALIZA. Kama huamini, waulize akina dada na mashoga....................
 
Back
Top Bottom