Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Nimeendelea kufungua threads nyingi za uchaguzi na kuzisoma, kinachonishangaza ni watu wengi kuwa na imani za gizani, ati CHADEMA ishinde uchaguzi wa kiti cha Urais bila maandalizi! Mimi nadhani hilo likitokea ujue pia hakuna taifa hapa.
Kuna washabiki wanaamini CHADEMA itashinda urais, kwangu mimi hiyo ni sawa na kwenda kwenye mtihani wa Hisabati bila maandalizi alafu unadhani utashinda.
CHADEMA yenyewe kwa wakati tofauti wameelezea nia yao ya kusimamisha mgombea urais kwamba ni kwa ajili ya kuongeza viti vya ubunge na sio zaidi ya hapo.
Hivi nani wa kumsaidia Dr. Slaa kwenye mbio za Urais kama Mnyika, Zitto, Mbowe nk watakuwa busy kutafuta ugali wa 12,000.000/- per month za bunge... CCM ina wabunge ambao wapita bila kupingwa... hivyo wanauwezo wakumsaidia mgombea wao wa urais na wagombea wa ubunge wasiouzika... lets face the facts.
Hata kama CCM haikubaliki, au haijafanya kitu, lakini wenzenu wanalijua hilo na wamejiandaa kuingia kwenye uchaguzi.
Strategy ya CHADEMA iwe kuchukua ubunge kwenye majimbo wanapojiamini... lakini waaache kupoteza resources nyingi pale ambapo hakuna tija... maana matokea yake itakuwa mtafaruku baada ya uchaguzi.
Navitakia vyama vyome uchaguzi mwema... mimi nitakuwa CHINA wakati wa uchaguzi hivyo kura yangu haitakuwepo kwenye hesabu.
Kuna washabiki wanaamini CHADEMA itashinda urais, kwangu mimi hiyo ni sawa na kwenda kwenye mtihani wa Hisabati bila maandalizi alafu unadhani utashinda.
CHADEMA yenyewe kwa wakati tofauti wameelezea nia yao ya kusimamisha mgombea urais kwamba ni kwa ajili ya kuongeza viti vya ubunge na sio zaidi ya hapo.
Hivi nani wa kumsaidia Dr. Slaa kwenye mbio za Urais kama Mnyika, Zitto, Mbowe nk watakuwa busy kutafuta ugali wa 12,000.000/- per month za bunge... CCM ina wabunge ambao wapita bila kupingwa... hivyo wanauwezo wakumsaidia mgombea wao wa urais na wagombea wa ubunge wasiouzika... lets face the facts.
Hata kama CCM haikubaliki, au haijafanya kitu, lakini wenzenu wanalijua hilo na wamejiandaa kuingia kwenye uchaguzi.
Strategy ya CHADEMA iwe kuchukua ubunge kwenye majimbo wanapojiamini... lakini waaache kupoteza resources nyingi pale ambapo hakuna tija... maana matokea yake itakuwa mtafaruku baada ya uchaguzi.
Navitakia vyama vyome uchaguzi mwema... mimi nitakuwa CHINA wakati wa uchaguzi hivyo kura yangu haitakuwepo kwenye hesabu.