Nakubaliana na wewe kwamba hiki ni kitu kidogo.Hii inaitwa roho ya kwanini, sio kitu kizuri!. Mtu amelitumikia taifa kwa siku 364, hiyo siku moja tuu ya 365 ndio inakuuma?.
Tena sisi Tanzania tuna bahati, siku ya birthday ya mkuu wa nchi ni siku ya kawaida, wenzetu ikiwemo Uingereza, Birthday ya Queen ni public holiday!. Na sio UK pekee, ni Great Britain yote, na kwenye dominion zake site, Canada, Australia na Newsland.
Siku hiyo balozi zote za Uingereza dunia nzima zinaiadhimisha kwa tafrija mchapalo.
Nami nijiunge na Watanzania wenzangu kumtakia Happy Birthday President Mama Samia Suluhu Hassan.
P
Siku mkiniambia siku ya kuzaliwa ya Boris Johnson ni Sikukuu ya kitaifa nitaanza kuwaamini. Au mkisema baada ya Mama Samia kuwa Chifu basi ana hadhi ya Kifalme.Hii inaitwa roho ya kwanini, sio kitu kizuri!. Mtu amelitumikia taifa kwa siku 364, hiyo siku moja tuu ya 365 ndio inakuuma?.
Tena sisi Tanzania tuna bahati, siku ya birthday ya mkuu wa nchi ni siku ya kawaida, wenzetu ikiwemo Uingereza, Birthday ya Queen ni public holiday!. Na sio UK pekee, ni Great Britain yote, na kwenye dominion zake site, Canada, Australia na Newsland.
Siku hiyo balozi zote za Uingereza dunia nzima zinaiadhimisha kwa tafrija mchapalo.
Nami nijiunge na Watanzania wenzangu kumtakia Happy Birthday President Mama Samia Suluhu Hassan.
P
Kwanza kitaifa jina lake ni Mama na sio Bibi, pili ukome kusema anaongea huku anarembua macho!, ukweli ni kuwa, harembui macho, bali hivyo ndio macho yake yalivyo, yaliumbwa hivyo hivyo marembo na Mungu mwenyewe, hivyo yanaonekana kama yameregea...lakini yanaona hayo!.Yule bibi anaongea anarembua macho eti ' nafungua nchi'.
Kawaida tu mkuu.....mwache afurahie hii siku muhimu kwake.....nna chojua hakuna kiongoz anayeweza kumaliza matatizo yote
Hiv legendary MAGU alikuwa anasherekea hivi vitu
Binafsi sjawahi kusikia bday yake
Mkuu Paschal nikiri wazi uwezo wako wa kufikiri umeshuka sn kama siyo kuisha, hivi wewe unajilinganisha na Uingereza na mataifa mengine makubwa serious? wanashinda ya barabara, madawati, madarasa, nyumba za tembe, maji, huduma za afya, mishahara ya watumishi kutopandishwa miaka 7, mifugo kufa na ukame kwa kukosa maji n.k? ndiyo maana siku hizi unadharaulika sn na vijana wanakutukanaHii inaitwa roho ya kwanini, sio kitu kizuri!. Mtu amelitumikia taifa kwa siku 364, hiyo siku moja tuu ya 365 ndio inakuuma?.
Tena sisi Tanzania tuna bahati, siku ya birthday ya mkuu wa nchi ni siku ya kawaida, wenzetu ikiwemo Uingereza, Birthday ya Queen ni public holiday!. Na sio UK pekee, ni Great Britain yote, na kwenye dominion zake site, Canada, Australia na Newsland.
Siku hiyo balozi zote za Uingereza dunia nzima zinaiadhimisha kwa tafrija mchapalo.
Nami nijiunge na Watanzania wenzangu kumtakia Happy Birthday President Mama Samia Suluhu Hassan.
P
Ni mambo ya aibu kujilinganisha na Uingereza ambako huduma za kijamii zipo zoteMama samia ni queen?
Ukiwa na waandishi wajinga kama hawa nchi kupata maendeleo ni ndoto za mchanaHapa issue sio birthday ya mama,hapa ni kwann asherehekee Ikulu? Kumbuka Ile ni Ofisi/Ikulu ya taifa,na sio sehemu ya mtu binafsi. Pascal Mayalla Acha kujipendekeza kaka,ww kama mwandishi ni mwandishi wa waheshima Sana,unapaswa kukemea hili swala Kwa kalamu. Huu no mfano mbaya Sana Rais anaonesha,tuendako tutaanza kuwa na viongizi wanaoenda kunywa chai London na Lunch Dubai huku wananchi wakiteseka.