Ndugu zangu nimestuka sana baada ya kuona jana kwenye TV wakati mwakilishi wa New Habari alipokuwa anatoa salamu za rambirambi toka kwa Rostam Aziz.
Alipotamka kuwa mke wa marehemu Danny atalipwa mshahara kwa miaka mitano sikuamini masikio yangu niliposikia makofi yakipigwa na pia ulipoelezwa utaratibu wa kusomesha watoto na dependants.
Nafsi yangu inashindwa kuona nafasi ya kushangilia kwa kupiga makofi msibani.Naamini mke wa marehemu na watoto wake hawakupiga makofi kwani kwao hakuna kitakachokuwa mbadala wa Danny.
Piili haya mambo ya kutoa msaada na kuutaja wazi kiasi kile nayo mmhhhhhh
Alipotamka kuwa mke wa marehemu Danny atalipwa mshahara kwa miaka mitano sikuamini masikio yangu niliposikia makofi yakipigwa na pia ulipoelezwa utaratibu wa kusomesha watoto na dependants.
Nafsi yangu inashindwa kuona nafasi ya kushangilia kwa kupiga makofi msibani.Naamini mke wa marehemu na watoto wake hawakupiga makofi kwani kwao hakuna kitakachokuwa mbadala wa Danny.
Piili haya mambo ya kutoa msaada na kuutaja wazi kiasi kile nayo mmhhhhhh