Kushabikia siasa za upinzani Tanzania yakupasa uwe na moyo kama wa Mwendawazimu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,715
141,579
Mosi, hakuna Tume huru ya uchaguzi

Pili, uchaguzi wa madiwani unasimamiwa na makada wa CCM

Tatu, matumizi ya ruzuku kwa vyama vya upinzani hayaeleweki

Nne, vyama vya upinzani havifanyi uchaguzi wa viongozi wao mfano Wenyeviti ni kama wa kudumu.

Tano, ukiwa mbunge ni lazima kuchangia fedha za kuendesha chama hata kama chama hicho kinapokea ruzuku ya zaidi ya sh milioni 300 kila mwezi na kimepanga kota moja tu ya NHC ya vyumba vinne.

Kiukweli kuwa mpinzani hapa bongo ni lazima ujitoe ufahamu vinginevyo unaweza kufa kihoro.

Wednesday njema,

Maendeleo hayana vyama!
 
Mosi, hakuna Tume huru ya uchaguzi

Pili, uchaguzi wa madiwani unasimamiwa na makada wa CCM

Tatu, matumizi ya ruzuku kwa vyama vya upinzani hayaeleweki

Nne, vyama vya upinzani havifanyi uchaguzi wa viongozi wao mfano Wenyeviti ni kama wa kudumu.

Tano, ukiwa mbunge ni lazima kuchangia fedha za kuendesha chama hata kama chama hicho kinapokea ruzuku ya zaidi ya sh milioni 300 kila mwezi na kimepanga kota moja tu ya NHC ya vyumba vinne.

Kiukweli kuwa mpinzani hapa bongo ni lazima ujitoe ufahamu vinginevyo unaweza kufa kihoro.

Wednesday njema,

Maendeleo hayana vyama!
Ni utaahira mkubwa sana kuiunga mkono CCM.
 
Back
Top Bottom