Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Wadau Suala la Tril.360 kama KODI zilizotakiwa kulipwa na Kampuni ya Madini ya Barrick nina Hakika lilizungumzwa Katika VIKAO vya BARAZA la MAWAZIRI.
Leo kuna MTU anajitokeza na Kusema zile TRIL.360 ni KANYABOYA je huko Sikutoa SIRI za BARAZA la MAWAZIRI?
Pili Kama Tumedanganywa kwa hili Je ni Mangapi Serikali ya AWAMU ya 5 IMETUDANGANYA?
Leo kuna MTU anajitokeza na Kusema zile TRIL.360 ni KANYABOYA je huko Sikutoa SIRI za BARAZA la MAWAZIRI?
Pili Kama Tumedanganywa kwa hili Je ni Mangapi Serikali ya AWAMU ya 5 IMETUDANGANYA?