Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
siku ya leo nataka kuvunja mzizi wa fitina maana humu ndani yametokea mabishano na mada kuhusu
1.baadhi ya watu kusifia vyuo vyao.....
2.baadhi ya watu kuponda baadhi ya vyuo
kusema kweli chuo ni chuo....ili mradi kinatambuliwa na serikali na tcu.....kitu muhimu katika kusoma elimu ya
chuo kikuu ni baada ya kuhitimu uweze kupata ajira ambayo itakuwezesha kuendesha maisha yako...ya badae
so usije ukakariri....kwamba eti mimi nasoma chuo flani ni bola kuliko mwengine cha umuhimu ni kumuomba mungu
upate michongo wa kazi,,,,,usijidanganye eti ya kwamba kisa nimesoma maarufu eti nikimaliza chuo napata kazi hapo hapo kitu kama hichi hakuna............na huu ni wosia wangu........kwani watu wengi tukiwa vyuoni tunadanganyana sana
na mwisho nawahusia ndugu zangu.......ombeni sana mungu mpate michongo ya kazi....mtaani ni kugumu sana
1.baadhi ya watu kusifia vyuo vyao.....
2.baadhi ya watu kuponda baadhi ya vyuo
kusema kweli chuo ni chuo....ili mradi kinatambuliwa na serikali na tcu.....kitu muhimu katika kusoma elimu ya
chuo kikuu ni baada ya kuhitimu uweze kupata ajira ambayo itakuwezesha kuendesha maisha yako...ya badae
so usije ukakariri....kwamba eti mimi nasoma chuo flani ni bola kuliko mwengine cha umuhimu ni kumuomba mungu
upate michongo wa kazi,,,,,usijidanganye eti ya kwamba kisa nimesoma maarufu eti nikimaliza chuo napata kazi hapo hapo kitu kama hichi hakuna............na huu ni wosia wangu........kwani watu wengi tukiwa vyuoni tunadanganyana sana
na mwisho nawahusia ndugu zangu.......ombeni sana mungu mpate michongo ya kazi....mtaani ni kugumu sana