Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,294
- 1,288
Tunajua kwamba hayo yote mtafanya ila jikumbuke wewe na umaskini wako acha kuvimba vichwa ukishika hicho kibunduki Kuna siku tu utajua kwamba hujui wewe ni tahira tu uliyebebeshwa silaha ili uwauwe maskini wenzake wai na hatia na matajiri na wenye mamlaka waovu wachache wanakutumia kama mpampasi na unakenua kuwamaliza wenzako ukifikiri wewe watakuacha baada ya kukamilisha mission zao. Kiufupi ni kwamba siku ukikamilisha kumdunga hiyo sindano na wewe hatutakuacha uishi maana kuna siku utavujisha siri NG'OMBE WEWE USIYEJIELEWA MROPOKAJI HAUWEZI KUTUNZA SIRITunaanza na huyu kengee wenuu tunamdugaa virus mdaa si mrefuu tuonee mtaishia wap