Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,835
- 16,696
Mabaharia habari za usiku, wale wadogo mlale huu uzi hauwahusu.
Let's be honest, kusaheme binadamu aliyekuwa anakuhujumu au kukutakia mabaya au kukukwamisha kwa mambo yako ya msingi tena makubwa ya Taifa, ni ngumu sana sanaa.
Mimi niwe mkweli, dunia ya leo kumpata mtu mwenye moyo na roho kama ya Mh. Rais wetu John Magufuli sijui kama wanapatikana hasa kwa ngazi ya Urais.
Kusamehe ni jambo gumu sana hasa likiwa la dhati toka moyoni, mimi siwezi kabisa, mtu anayetaka kunihujumu mimi ningemshughulikia tu nikiwa na ushahidi wa uhakika, yaani siwezi samehe, siwezi.
Let's be honest, kusaheme binadamu aliyekuwa anakuhujumu au kukutakia mabaya au kukukwamisha kwa mambo yako ya msingi tena makubwa ya Taifa, ni ngumu sana sanaa.
Mimi niwe mkweli, dunia ya leo kumpata mtu mwenye moyo na roho kama ya Mh. Rais wetu John Magufuli sijui kama wanapatikana hasa kwa ngazi ya Urais.
Kusamehe ni jambo gumu sana hasa likiwa la dhati toka moyoni, mimi siwezi kabisa, mtu anayetaka kunihujumu mimi ningemshughulikia tu nikiwa na ushahidi wa uhakika, yaani siwezi samehe, siwezi.