Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,534
- 25,830
Unanawa lakini?Aka kakorona ni kadogo tu...tusitishane! Tupige kazi ..Mh.Rais ni jemedari wetu achana na hao Corona
Unanawa lakini?Aka kakorona ni kadogo tu...tusitishane! Tupige kazi ..Mh.Rais ni jemedari wetu achana na hao Corona
Yaani aka kakorana eti ninawe...Kesho nitakua kwenye maweUnanawa lakini?
Kaa tu hapo ufipa virusi vinakuja kukufundisha vizuri. Utanawa tu.Ya
Yaani aka kakorana eti ninawe...Kesho nitakua kwenye mawe