Richard Njau
Senior Member
- Jan 12, 2012
- 114
- 104
Habari, nina kampuni inafanya shughuli Dar es salaam, nahitaji kufungua ofisi mkoa wa Pwani naomba mwenye ufahamu hatua ninazotakiwa kufanya. asante
Mmmh hahaha too tozo tozoKamanda ngoja kwanza tupo kwenye kikao kuhoji hizi tozo
OkayHauhitaji usajili mpya wa kampuni, kampuni ile ile uliyonayo Dar inaweza kufanya kazi anywhere ndani ya Tz mainland...unaenda na docs zako zile zile za Brela ulizonazo hapo Dar ktk wilaya husika unayotaka ku extend kazi...unawaona watu wa kodi wa wilaya hiyo na watu wa halamashauri for leseni ya biashara.
Vibali vingine vya kazi vitategemea aina ya shughuli unayofanya kama inahitaji vibali toka mamlaka fulani fulani.
Then you are good to go...unaanza kazi.