Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,993
- 144,329
Hivi sasa kupitia TBC 1 kuna tukio linarushwa live kutoka Ikulu linalohusu kusaini mkataba kati ya serikali ya India na serikali ya Tanzania, tukio linaloambatana na ziara ya Waziri Mkuu wa India, bwana Narendra Modi.
Swali:Kama tumeamua kubana matumuzi,kwanini karibu kila tukio linalomuhisisha Raisi linarushwa live?
Matukio ya shughuli zinazomuhusu Raisi kama yasingeonyeshwa live, tungekua tumeokoa kiasi gani cha fedha mpaka leo hii?
Swali:Kama tumeamua kubana matumuzi,kwanini karibu kila tukio linalomuhisisha Raisi linarushwa live?
Matukio ya shughuli zinazomuhusu Raisi kama yasingeonyeshwa live, tungekua tumeokoa kiasi gani cha fedha mpaka leo hii?