tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Wana Jfs nalileta hili ombi nisaidieni kumuelimisha my best friend wangu...
Story yenyewe iko hivi nanukuu tukiwa kama mume na mke tunatakiwa kusaidiana, kwa mfano umeamka asuhuhi umekwenda kazini jana yake umeloweka nguo zenu za ndani asubuhi yake kwa sababu umechekewa kazini ukashindwa kuzifua ukampigia simu mume ambaye yupo likizo ukamuomba akusaidie kufua...akasema sawa uliporudi home ukazikuta kama ulivyoziacha ukaamua umuulize akakuambia tokea asubuhi ashinde hapo home hakuingia bafuni/****** so alisahau hakuziona...mara ugomvi unaanza niache uchafu na mimi ni mvivu sasa hapo ni nani ana makosa...wakati nikiwa kazini nilimuomba anisaidie...na ndoa ni kusaidiana jamani..kuingia tuu chumbani kwetu ambapo ni master afue hizo nguo anaona haya!!please naomben ushauri wenu maana imeniuma sana...
Some advice!
From Friend...
Story yenyewe iko hivi nanukuu tukiwa kama mume na mke tunatakiwa kusaidiana, kwa mfano umeamka asuhuhi umekwenda kazini jana yake umeloweka nguo zenu za ndani asubuhi yake kwa sababu umechekewa kazini ukashindwa kuzifua ukampigia simu mume ambaye yupo likizo ukamuomba akusaidie kufua...akasema sawa uliporudi home ukazikuta kama ulivyoziacha ukaamua umuulize akakuambia tokea asubuhi ashinde hapo home hakuingia bafuni/****** so alisahau hakuziona...mara ugomvi unaanza niache uchafu na mimi ni mvivu sasa hapo ni nani ana makosa...wakati nikiwa kazini nilimuomba anisaidie...na ndoa ni kusaidiana jamani..kuingia tuu chumbani kwetu ambapo ni master afue hizo nguo anaona haya!!please naomben ushauri wenu maana imeniuma sana...
Some advice!
From Friend...