Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,659
- 12,282
Ungewaambia waache ungese wao.hii kitu ngumu sana ndugu zangu...tunapaswa kuwasaidia hakika...ila ukicheza hao ndio watakuangusha.....nlishawasomesha shemeji zangu duh...mie sikufika univ....hakika nliwalipia kwa kuunga unga.....walichokuja kuniambia....ila nimewasamehe kabisa...eti " kama baba etu angekuwepo angeweza kutosomesha...tukipata kazi tutakurudishia" na wamepigika na digrii zao...wacha...mmoja fundi simu posta,,,,mwingine keshatunguliwa 2 na baba tofauti......mie nadunda tuuu....adabu imewakaa....