Kusaidia Ndugu/familia ni wajibu au lazima?

LellozWho

Member
Jul 13, 2021
89
121
Nimeona sehem nyingi, familia nyingi na hata mmoja wa polisi aliyefariki kwa tukio la Juzi inaonesha kua alikua tegemeo la familia nzima mpaka mtoto wa kaka yake.

Hoja yangu ni moja.
Hii ni tamaduni au ni vipi!?

Unamaliza shule, unapata kazi baada ya hapo unatakiwa kusaidia familia nzima na ndugu wa pembeni(kitanzania)

Mtazamo wangu:
hii ni moja ya kurudishana nyuma kimaendeleo

Nilidhani ni vema iwe kutazama future ya yako kwanza na kuhudumia/kusaidia wengine isiwe ni wajibu/lazima bali iwe HIYARI kulingana na uwezo wa mtu.
 
Hii kitu binafsi siipendi na inanichukiza

Hatukatai kusaidia ndugu ila iwe ni option na syo lzma

Kwa mfano mtu akisikia umepata kazi anataka kuja kuishi apoapo bila kujua kuwa unaishi na bajeti au ndugu wanaanza kukuletea watoto wao ukae nao na kuwasomesha

Na ukikataa inaonekana kwamba unajisikia na kikazi chako

Imenitokea hii ,

mwaka juzi ndugu mmoja alitaka nilipe ada ya mwanae chuo 1.3Million kwa awamu mbili 700k awamu ya kwanza na 600k awamu ya pili ...nilikataaa ila mpka leo cpigiwi simu na wala hakuna mawasiliano.

binafsi na furaha kwa kunipunguzia mzgo kwakuwa nina familia pia

napenda wazungu wanavyoishi kila mtu anakufa na shda zake
 
Nimeona sehem nyingi, familia nyingi na hata mmoja wa polisi aliyefariki kwa tukio la Juzi inaonesha kua alikua tegemeo la familia nzima mpaka mtoto wa kaka yake.

hoja yangu ni moja.
Hii ni tamaduni au ni vipi!?

Unamaliza shule, unapata kazi baada ya hapo unatakiwa kusaidia familia nzima na ndugu wa pembeni(kitanzania)

Mtazamo wangu:
hii ni moja ya kurudishana nyuma kimaendeleo

Nilidhani ni vema iwe kutazama future ya yako kwanza na kuhudumia/kusaidia wengine isiwe ni wajibu/lazima bali iwe kulingana na uwezo wa mtu.
Kilugha tamko wajibu humaanisha lazima. Kwenye anuani ya uzi wako linge kaa tamko "hiari" kwenye tamko "wajibu" au "lazima".

Shukrani.
 
hii kitu binafsi siipendi na inanichukiza

hatukatai kusaidia ndugu ila iwe ni option na syo lzma

kwa mfano mtu akisikia umepata kazi anataka kuja kuishi apoapo bila kujua kuwa unaishi na bajeti au ndugu wanaanza kukuletea watoto wao ukae nao na kuwasomesha

na ukikataa inaonekana kwamba unajisikia na kikazi chako

imenitokea hii ,

mwaka juzi ndugu mmoja alitaka nilipe ada ya mwanae chuo 1.3Million kwa awamu mbili 700k awamu ya kwanza na 600k awamu ya pili ...nilikataaa ila mpka leo cpigiwi simu na wala hakuna mawasiliano.

binafsi na furaha kwa kunipunguzia mzgo kwakuwa nina familia pia

napenda wazungu wanavyoishi kila mtu anakufa na shda zake
You spoke my mind.

nashindwa focus na plan zangu kwasababu tu ya shinikizo la kusaidia watu ambao kwa ukweli ni sababu zao zimepelekea walipo.

low minded people will bring some umoja,upendo na mshikamano stuff up in here 😂

Ushauri wangu
We tazama future yako
Hizi zingine ziwe kwa Hayari tu.
 
Nimeona sehem nyingi, familia nyingi na hata mmoja wa polisi aliyefariki kwa tukio la Juzi inaonesha kua alikua tegemeo la familia nzima mpaka mtoto wa kaka yake.

hoja yangu ni moja.
Hii ni tamaduni au ni vipi!?

Unamaliza shule, unapata kazi baada ya hapo unatakiwa kusaidia familia nzima na ndugu wa pembeni(kitanzania)

Mtazamo wangu:
hii ni moja ya kurudishana nyuma kimaendeleo

Nilidhani ni vema iwe kutazama future ya yako kwanza na kuhudumia/kusaidia wengine isiwe ni wajibu/lazima bali iwe kulingana na uwezo wa mtu.
Kama umesaidiwa nawe saidia... huo ni utu

Kama hujasaidiwa na una uwezo wa kusaidia, saidia.. huo ni ubinadamu

Kama umesaidiwa na huna uwezo wa kusaidia, usisaidie... huo ni umaskini

Msaada ni hiari, kwa wengine ni sadaka na kwa wengine ni kutafuta kiki

Uamuzi ni wako, hakuna anayekulazimisha.... kutotoa msaada sio kosa kisheria

Relax, vuta pumzi. Maisha ni hayahaya.... Ishi utakavyo
 
Nimeona sehem nyingi, familia nyingi na hata mmoja wa polisi aliyefariki kwa tukio la Juzi inaonesha kua alikua tegemeo la familia nzima mpaka mtoto wa kaka yake.

hoja yangu ni moja.
Hii ni tamaduni au ni vipi!?

Unamaliza shule, unapata kazi baada ya hapo unatakiwa kusaidia familia nzima na ndugu wa pembeni(kitanzania)

Mtazamo wangu:
hii ni moja ya kurudishana nyuma kimaendeleo

Nilidhani ni vema iwe kutazama future ya yako kwanza na kuhudumia/kusaidia wengine isiwe ni wajibu/lazima bali iwe HIYARI kulingana na uwezo wa mtu.
Tema mate chini huku ni Afrika sio ulaya.. Upendo ndio nguzo kuu... Hata wewe kufika hapo kuna mikono mingi imekubeba!
Family ties ni muhimu sana hujenga umoja na mshikamano na upendo.. Tazama koo zenye nguvu zina hiyo misingi kwenye familia zao
 
Nadhani ilifike hatua tujue kusaidiana inategemea na mfuko wa yule unayetaka akusaidie hivyo sio lazima sababu ilivyo sasa mtu akishajua una ka ajira basi ye moja kwa moja anajua uwezo wa kumpatia akitakacho kwa muda autakao inawezekana huku akiwa hajui hata kipato / mipango iko vipi kutokana na hicho ukipatacho.

Na hii ndo mwisho inaletaga kutokuelewana kisa tu mtu amehitaji msaada kisha ukamwambia sina kwa wakati huo.
 
Nimeona sehem nyingi, familia nyingi na hata mmoja wa polisi aliyefariki kwa tukio la Juzi inaonesha kua alikua tegemeo la familia nzima mpaka mtoto wa kaka yake.

hoja yangu ni moja.
Hii ni tamaduni au ni vipi!?

Unamaliza shule, unapata kazi baada ya hapo unatakiwa kusaidia familia nzima na ndugu wa pembeni(kitanzania)

Mtazamo wangu:
hii ni moja ya kurudishana nyuma kimaendeleo

Nilidhani ni vema iwe kutazama future ya yako kwanza na kuhudumia/kusaidia wengine isiwe ni wajibu/lazima bali iwe HIYARI kulingana na uwezo wa mtu.
Sasa kama na wewe ulisaidiwa, huoni unawajibika pia kuwasaidia/kuwainua wengine ili kuleta unafuu kwenye familia yenu! Na uzuri unasaidia kutokana na kile kidogo ulicho nacho. Hakuna wa kukulazimisha kutoa kipato chako chote.

Anyway, jambo hilo siyo la lazima. Ni la hiyari tu. Na hutokea kwenye zile familia zetu maskini. Kwa matajiri, wanasiasa na wale wenye vyeo/vipato vikubwa! Huwezi kukuta hayo mambo. Maanaa kila mtoto anakuwa tayari ameshaandaliwa future yake.
 
Nimeona sehem nyingi, familia nyingi na hata mmoja wa polisi aliyefariki kwa tukio la Juzi inaonesha kua alikua tegemeo la familia nzima mpaka mtoto wa kaka yake.

hoja yangu ni moja.
Hii ni tamaduni au ni vipi!?

Unamaliza shule, unapata kazi baada ya hapo unatakiwa kusaidia familia nzima na ndugu wa pembeni(kitanzania)

Mtazamo wangu:
hii ni moja ya kurudishana nyuma kimaendeleo

Nilidhani ni vema iwe kutazama future ya yako kwanza na kuhudumia/kusaidia wengine isiwe ni wajibu/lazima bali iwe HIYARI kulingana na uwezo wa mtu.
Tumefika mahali pa kuuliza swali kama hilo?!!!
 
..Tamaduni za ulaya na afrika ni tofauti. Waafrika tumezoea kuishi kijamaa na ndiyo maana ni kawaida mtu kulelewa na ndugu au kusomeshwa na ndugu na hata kwa michango ya jamii

ukifanikiwa si vibaya sana kuwasaidia wenzako kwa vile uwezavyo (japo si lazima lakini si busara kushindwa kuwasaidia wengine ilihali una nafasi ya kusaidia)
 
Inategemea, jitathimini wewe ulifikaje hapo ulipo kisha nawe tenda vivyo hivyo.
 
Kama umesaidiwa nawe saidia... huo ni utu

Kama hujasaidiwa na una uwezo wa kusaidia, saidia.. huo ni ubinadamu

Kama umesaidiwa na huna uwezo wa kusaidia, usisaidie... huo ni umaskini

Msaada ni hiari, kwa wengine ni sadaka na kwa wengine ni kutafuta kiki

Uamuzi ni wako, hakuna anayekulazimisha.... kutotoa msaada sio kosa kisheria

Relax, vuta pumzi. Maisha ni hayahaya.... Ishi utakavyo
Tumefika mahali pa kuuliza swali kama hilo?!!!
?Kwanini isiulizwe?
 
?Kwanini isiulizwe?
Hivi kweli kuna haja ya kuuliza kama kusaidia ndugu ni wajibu ?! Ni wajibu na lazima, huwezi acha kuwasaidia ndugu zako na unawajibika kufanya hivyo. Kwani wao hawana wajibu wa kukusaidia wewe?
 
Back
Top Bottom