Richard Nguma
Member
- Apr 29, 2011
- 64
- 5
Nahitaji kusafirisha machinery equipment kutoka USA kwenda Tanzania, kuna mtu ambaye ameshawahi kutumia usafiri wa majini kutuma vitu bongo? Ni kampuni ipi wanashiping conterner?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipange uje ma maswali ya maana ndugu? Kampuni ipi wana "shipping conterner" ndiyo sawli gani?
Inategema uko sehemu gani ya USA. Kama uko Eastern Coast, kuna jamaa wanaitwa Pacifica Marine, wanafanya hiyo kazi. Walisafirisha container letu mwezi Julya 2012 na limefika Bongo bila tabu. Ingia website yao : www.pacificacfservices.com ili upate habari.
Umeelewa hujaelewa? Hiyo spelling haikuwa ishu wala namna ya kuuliza swali pia siyo ishu. Cha muhimu ujumbe umefika.
You r a mean personJipange uje ma maswali ya maana ndugu? Kampuni ipi wana "shipping conterner" ndiyo sawli gani?
You r a mean person
Man don't be meanJipange uje ma maswali ya maana ndugu? Kampuni ipi wana "shipping conterner" ndiyo sawli gani?
Swali ulilouliza ni sawa na mtu mwenye kiu anataka kunywa soda, akauliza "Ni duka gani lenye soda?"
Man don't be mean
Asante sana sana and God bless u,Inategema uko sehemu gani ya USA. Kama uko Eastern Coast, kuna jamaa wanaitwa Pacifica Marine, wanafanya hiyo kazi. Walisafirisha container letu mwezi Julya 2012 na limefika Bongo bila tabu. Ingia website yao : www.pacificacfservices.com ili upate habari.
Asante sana kamanda nakupa 100%Umeelewa hujaelewa? Hiyo spelling haikuwa ishu wala namna ya kuuliza swali pia siyo ishu. Cha muhimu ujumbe umefika.
please stop to respond my my addNot necessarily bro, and it's unfortunate if you choose to look at it that way. Point is you need to be more precise with what exactly it is that you want.
Asante sana kamanda nakupa 100%
Waswahili wanasema kwenye kundi la nzinge na panzi wamo, kwenye kundi la Mamba na mijuzi kafiri wamo, kenge wamo pia
please stop to respond my my add
Wewe unataka kusafiri na ndege kutoka huko ulipo (whatever neck-of-the woods county you happen to live in, in the USA) hadi Dar es Salaam, halafu unauliza, "kuna kampuni gani yenye ndege?" Hivi unatege
mea watu wakuelewe kweli?[/R QUOTE]
vichaa wako wengi, some people they r thinking with there assholeHuwezi kunizuia. Kama vipi usingeweka ujinga wako hapa, fool!
Jipange uje ma maswali ya maana ndugu? Kampuni ipi wana "shipping conterner" ndiyo sawli gani?