Kusafiri na Treni ni zaidi ya safari

Masaa 18 DSM - Kigoma kwa mfano umekaa ndani ya trein its wastage ya resources zako binafsi, unless kama ni likizo ya kifamilia na unatumia usafiri huo kama utalii wa ndani hapo nitakuelewa lakini kwa masuala ya usafiri wa kikazi, kibiashara ni hasara kwa mtumiaji - too much time spent sitting doing nothing.
 
Masaa 18 DSM - Kigoma kwa mfano umekaa ndani ya trein its wastage ya resources zako binafsi, unless kama ni likizo ya kifamilia na unatumia usafiri huo kama utalii wa ndani hapo nitakuelewa lakini kwa masuala ya usafiri wa kikazi, kibiashara ni hasara kwa mtumiaji - too much time spent sitting doing nothing.
Sio kama Massa 18 ndio kutoka Dom - Kigoma?

Au caption ipo tofauti na maelezo(sijafungua clip)
 
Dear-Arusha,
Ni muda gani, ningependa Ile sleeping mode siku nikisafiri
 
Wananchi tunataka kusafiri kupitia SGR au tupate uwezo wa kupanda Bombadier hizi nyingine ni blah blah
 
Sio kama Massa 18 ndio kutoka Dom - Kigoma?

Au caption ipo tofauti na maelezo(sijafungua clip)
Umeona ee, msingi unabakia palepale kwamba its wastage of resources kama mtu ataamua kutumia usafiri huu - usafiri huu ni wa karne ya 18. tutaisubiri hiyo ya speed masaa 7 DSM -MZA haitakuwa mbaya sana.
 
Zaid ya safari ni nini!! Enewei zaidi ya safari ni Konyagi..

KichWa bOX
Anaposema ni zaidi ya safari anamaanisha pamoja na kusafiri kuna mambo ya ziada utayaona na kuyapata. Ukiwa unataka kupumzisha akili yako safiri kwa treni, chukua daraja la kwanza au la pili na safari iwe ya mchana uimalizie asubuhi, hata mke utaoa safarini pamoja na kupata marafiki wapya hasa kama wewe ni mtu mwenyekupenda kujumuika na watu, ila kamahaupendi kujumuika na watu basi usisafiri na treni, utajuta.
 
Umeona ee, msingi unabakia palepale kwamba its wastage of resources kama mtu ataamua kutumia usafiri huu - usafiri huu ni wa karne ya 18. tutaisubiri hiyo ya speed masaa 7 DSM -MZA haitakuwa mbaya sana.
Usafiri wa treni unafaa kwa ambaye hana haraka, kwa wenye haraka na wafanyabiashara, hapana
 
Anaposema ni zaidi ya safari anamaanisha pamoja na kusafiri kuna mambo ya ziada utayaona na kuyapata. Ukiwa unataka kupumzisha akili yako safiri kwa treni, chukua daraja la kwanza au la pili na safari iwe ya mchana uimalizie asubuhi, hata mke utaoa safarini pamoja na kupata marafiki wapya hasa kama wewe ni mtu mwenyekupenda kujumuika na watu, ila kamahaupendi kujumuika na watu basi usisafiri na treni, utajuta.
Hapo hata mke utaoa safarini hapo!! Utaoa au kupata wa kunyandua ukifika! Enewei acha tujionee this December...


KichWa bOX
 
Masaa 18 DSM - Kigoma kwa mfano umekaa ndani ya trein its wastage ya resources zako binafsi, unless kama ni likizo ya kifamilia na unatumia usafiri huo kama utalii wa ndani hapo nitakuelewa lakini kwa masuala ya usafiri wa kikazi, kibiashara ni hasara kwa mtumiaji - too much time spent sitting doing nothing.
Usafiri wa basi unachukuwa masaa mangapi?
 
Usinikumbushe enzi za reli ya kati....
Mwanza...Tabora...Dodoma....Moro....Dar....acha kabisa ni enzi ambazo hazitofutika ktk kichwa changu...!
Saranda..'Hoteli' vyakula kama vyote...drammas za hapa na pale..pilika za ma TT ...safari zilikua tamu mno kipindi hicho 80's hadi 1990 nikiwa shuleni Tabora...
Railways ilikua railway kweli kweli...ni kama dola fulani iliyojitegemea hakika ilikua taasisi kubwa sana.
 
Back
Top Bottom