Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu yasema uwekezaji umeongezeka kutokana na Royal Tour

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,797
11,959


Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu yazungumzia matokeo ya ziara ya Rais nchini Oman na matokeo ya filamu ya Royal Tour.

Uwekezaji watajwa kuongezeka ikiwemo wawekezaji wanaotaka kuwekeza Serengeti, Kilimanjaro na Dar es Salaam na muwekezaji huyo ameshawasiliana na kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC)

Na serikali inaongeza nguvu ya kujua wawekezaji wakija wanawahudumiaje. Wakati huo TANAPA wameshabainisha maeneo yanayohitaji uwekezaji.

Mauzo ya nje yamefikia Dola milioni 10 ikiwa ni matokeo ya Economic Diplomacy. Thamani ya uwekezaji imeongezeka. kutokana na Royal Tour.

Serikali imeendelea kuhakikisha inaboresha uwekezaji na kujiandaa kuwapokea wawekezaji wakubwa katika kuongeza utalii, kukuza biasahara na kuwekeza katika viwanda.

MASWALI
Wakijibu swali la Mariam Mziwanda wa kutoka Uhuru Media, kuhusu hali ya mauzo ya nje yalikuwaje hadi kusema kuwa mauzo yameongezeka. Kurugenzi imesema mauzo ya nje yalikuwa kwa wastani wa bilioni 7 hadi 8 na sasa imefika dola bilioni 10 hali ambayo serikali inajivunia, japo wamesema inawezekana sio royal tour pekee bali kuna vitu vingine vinaweza kuwa vimechangia.
 
Walamba asali wanajitutumua..malizeni miradi mikubwa ya reli na bwawa la umeme ndio tutaona mnafanya kazi..tifauti na hapo hizo ni porojo tu.

#MaendeleoHayanaChama
 


Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu yazungumzia matokeo ya ziara ya Rais nchini Oman na matokeo ya filamu ya Royal Tour.

Uwekezaji watajwa kuongezeka ikiwemo wawekezaji wanaotaka kuwekeza Serengeti, Kilimanjaro na Dar es Salaam na muwekezaji huyo ameshawasiliana na kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC)

Na serikali inaongeza nguvu ya kujua wawekezaji wakija wanawahudumiaje. Wakati huo TANAPA wameshabainisha maeneo yanayohitaji uwekezaji.

Mauzo ya nje yamefikia Dola milioni 10 ikiwa ni matokeo ya Economic Diplomacy. Thamani ya uwekezaji imeongezeka. kutokana na Royal Tour.

Serikali imeendelea kuhakikisha inaboresha uwekezaji na kujiandaa kuwapokea wawekezaji wakubwa katika kuongeza utalii, kukuza biasahara na kuwekeza katika viwanda.

MASWALI
Wakijibu swali la Mariam Mziwanda wa kutoka Uhuru Media, kuhusu hali ya mauzo ya nje yalikuwaje hadi kusema kuwa mauzo yameongezeka. Kurugenzi imesema mauzo ya nje yalikuwa kwa wastani wa bilioni 7 hadi 8 na sasa imefika dola bilioni 10 hali ambayo serikali inajivunia, japo wamesema inawezekana sio royal tour pekee bali kuna vitu vingine vinaweza kuwa vimechangia.

Hebu waache uongo wao wa kitoto
 
Hizi porojo zilitegemewa!

Ni lazima takwimu zitapikwa tu ili kuonesha kuna la maana lilifanyika.
 
Ndo maana Wamasai wanatimuliwa ili wapewe maeneo? wazungu wanaandaliwa Mapoli ya akiba kuanzia Ngorongoro, Simanjiro na Longido? Make Wazungu kwa Tanzania hawawekezi kwenye viwanda ni kwenye Uwandaji tu na Hoteli.
 
Walamba asali wanajitutumua..malizeni miradi mikubwa ya reli na bwawa la umeme ndio tutaona mnafanya kazi..tifauti na hapo hizo ni porojo tu.

#MaendeleoHayanaChama
Bwawa la umeme ni ujinga tu jamma yangu,ni hero wangejenga mabwawa ya imwagiliaji nchi nzima
 


Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu yazungumzia matokeo ya ziara ya Rais nchini Oman na matokeo ya filamu ya Royal Tour.

Uwekezaji watajwa kuongezeka ikiwemo wawekezaji wanaotaka kuwekeza Serengeti, Kilimanjaro na Dar es Salaam na muwekezaji huyo ameshawasiliana na kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC)

Na serikali inaongeza nguvu ya kujua wawekezaji wakija wanawahudumiaje. Wakati huo TANAPA wameshabainisha maeneo yanayohitaji uwekezaji.

Mauzo ya nje yamefikia Dola milioni 10 ikiwa ni matokeo ya Economic Diplomacy. Thamani ya uwekezaji imeongezeka. kutokana na Royal Tour.

Serikali imeendelea kuhakikisha inaboresha uwekezaji na kujiandaa kuwapokea wawekezaji wakubwa katika kuongeza utalii, kukuza biasahara na kuwekeza katika viwanda.

MASWALI
Wakijibu swali la Mariam Mziwanda wa kutoka Uhuru Media, kuhusu hali ya mauzo ya nje yalikuwaje hadi kusema kuwa mauzo yameongezeka. Kurugenzi imesema mauzo ya nje yalikuwa kwa wastani wa bilioni 7 hadi 8 na sasa imefika dola bilioni 10 hali ambayo serikali inajivunia, japo wamesema inawezekana sio royal tour pekee bali kuna vitu vingine vinaweza kuwa vimechangia.

Hongera sana SSH
 

Attachments

  • Screenshot_20220628-090518.png
    Screenshot_20220628-090518.png
    174.2 KB · Views: 6


Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu yazungumzia matokeo ya ziara ya Rais nchini Oman na matokeo ya filamu ya Royal Tour.

Uwekezaji watajwa kuongezeka ikiwemo wawekezaji wanaotaka kuwekeza Serengeti, Kilimanjaro na Dar es Salaam na muwekezaji huyo ameshawasiliana na kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC)

Na serikali inaongeza nguvu ya kujua wawekezaji wakija wanawahudumiaje. Wakati huo TANAPA wameshabainisha maeneo yanayohitaji uwekezaji.

Mauzo ya nje yamefikia Dola milioni 10 ikiwa ni matokeo ya Economic Diplomacy. Thamani ya uwekezaji imeongezeka. kutokana na Royal Tour.

Serikali imeendelea kuhakikisha inaboresha uwekezaji na kujiandaa kuwapokea wawekezaji wakubwa katika kuongeza utalii, kukuza biasahara na kuwekeza katika viwanda.

MASWALI
Wakijibu swali la Mariam Mziwanda wa kutoka Uhuru Media, kuhusu hali ya mauzo ya nje yalikuwaje hadi kusema kuwa mauzo yameongezeka. Kurugenzi imesema mauzo ya nje yalikuwa kwa wastani wa bilioni 7 hadi 8 na sasa imefika dola bilioni 10 hali ambayo serikali inajivunia, japo wamesema inawezekana sio royal tour pekee bali kuna vitu vingine vinaweza kuwa vimechangia.

Kelele za Royal Tour ni kama kelele za Viwonder wakati wa Jiwe, waulize sasa hivo viwanda viko wapi
 
ahsante kwa taarifa.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki awamu ya 6.
Mungu mbariki Rais wetu.
 
Back
Top Bottom