Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu toeni taarifa ya Kuwaomba radhi watanzania kwa Kuwapotosha

British SAS

Member
Oct 19, 2017
60
146
Wakuu Media za Tanzania Zimekaa Ki uoga sana Ndiyo maana Barick wamelipasulia huko kwenye Vyombo vya Habari Vikubwa.

Mi naishauri Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ikiongozwa na Msigwa watoe taarifa ya kuwaomba Radhi watanzania kwa kuwaposha kupitia Television ya Taifa na Vyombo Vingine vya Kupashana Habari.


Taarifa itaje waziwazi kuwa Ripoti hiyo iliyomuhusisha Rais ilikua na Mapungufu ili Kumsitiri Rais wetu aliyevuliwa Nguo hadharani na hawa Wazungu.

Najua Parent Company ni Barick ambayo inamiliki 64% ambayo ndo Owner halafu kuna stake ya Acacia ambayo ni 36% nikasikia Tanzania nayo Itakua Ni Partner wa 50% kwa 50% je hapa Barick ndo Ime spilt 64% na Tanzania Kuchukua 32% kwa 32% au?


Faida Upewe 50%
Service Levy Ulipwe
Charitable Organization
Wajenge Miundombinu
Walipe Mirabaha

Barrick Ni mama yetu? Hebu tufikirie.
 
Mimi nilichoelewa 50% kwa 50% hiyo ipo kugawana mapato na siyo kwenye shares. ..japo bado sielewi huo mgao maana sisi siyo shareholders so hadi wale preferential shareholders walipwe kwanza halafu ndo kinachobakia tuambulie chochote haya mambo wanatusukumizia huko huko tabu kweli kweli
 
Najua Parent Company ni Barick ambayo inamiliki 64% ambayo ndo Owner halafu kuna stake ya Acacia ambayo ni 36% nikasikia Tanzania nayo Itakua Ni Partner wa 50% kwa 50% je hapa Barick ndo Ime spilt 64% na Tanzania Kuchukua 32% kwa 32% au?

Kwenye red: Tafuta wachovu wenzie uendelee kuwazuia hizo ngonjera za Acacia. Umeeleza 50% ni ya nini?
 
Mimi nilichoelewa 50% kwa 50% hiyo ipo kugawana maps to na siyo kwenye shares. ..japo bado sielewi huo mgao maana sisi siyo shareholders so hadi wale preferential shareholders walipwe kwanza halafu ndo kinachobakia tuambulie chochote haya mambo wanatusukumizia huko huko tabu kweli kweli

Haelewi chochote bado anakazana kusema serikali iombe msamaha. Mambo ya kupewa MB za bure!
 
Ni aibu kwa nchi kuwa taifa la watu waongo ..

Tulianza kudanganywa juu ya mshahara wa rais kuwa ni mil 9 wakati tunajua ni mil 40..

Tukaja kupewa propaganda za makusanyo TRA kuwa tunakusanya trion 1.3 per month wakati tunakusanya billion 600

Angalia sasa tunavuliwa nguo na dunia kwa sababu za kuishi kinafiki kwa biongozi wetu..

Kwa hili MKUU kavuliwa bokisa kabisa chutama!!

Shame on you all !
 
Tatizo wabongo hawajui lugha ...inawezeka mliwaelewa vibaya

Hii aibu kubwa tena...mnawalusha watz uongo
 
British SAS ,umetia AIBU hii thread yako, hiyo 50/50 unayozungumza ni mgawanyo wa FAIDA baada ya kutoa kodi zilizoainishwa, jaribu kutulia kabla kukurupuka!
 
British SAS ,umetia AIBU hii thread yako, hiyo 50/50 unayozungumza ni mgawanyo wa FAIDA baada ya kutoa kodi zilizoainishwa, jaribu kutulia kabla kukurupuka!
50% kwa 50% ya 64% au? Mbona Acacia wanaonekana Hawataki Kuna legal Complication hapa Haujaigundua

Labda wamepata Faida ya USD 30Billion
Corporate Tax 30% sawa na USD 9billion
Net Profit After statutory Deduction 21Billion

64% Barick 13.4Billion
36% Acacia 21Billion-13.4Billion
Acacia 7.6Billion

Barick katika 64% anapata 13.4Billion ndo atagawana na Tanzania 6.7Billion Each?

Kwa Sababu acacia Wamegoma kushirikiana na TZ.
 
Back
Top Bottom