Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,173
- 25,446
Katika taarifa kwa umma (vyombo vya habari na wengineo) iliyotolewa leo na Kurugenzi ya Habari Ikulu,kuna kosa dogo la uandishi wa jina.
Katika taarifa hiyo,jina la aliyekuwa Msajili wa Hazina hadi leo,'Lawrence Mafuru' limeandikwa 'Florence Mafuru'. Ni wazi kuwa Lawrence si Florence.
Taarifa za Ikulu ni taarifa nyeti. Zinapaswa kuepuka makosa yanayoweza kuepukika. Tafadhali,kaka Msigwa pokea ushauri wangu wa kupitia kwa makini taarifa kabla ya kuzitoa.
Katika taarifa hiyo,jina la aliyekuwa Msajili wa Hazina hadi leo,'Lawrence Mafuru' limeandikwa 'Florence Mafuru'. Ni wazi kuwa Lawrence si Florence.
Taarifa za Ikulu ni taarifa nyeti. Zinapaswa kuepuka makosa yanayoweza kuepukika. Tafadhali,kaka Msigwa pokea ushauri wangu wa kupitia kwa makini taarifa kabla ya kuzitoa.