Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Ngoma draw...tujengeni nchiWaliomba radha na huyu naye aombe radhi!
Ngoma draw...tujengeni nchiWaliomba radha na huyu naye aombe radhi!
Ngoma droo bila ya Garson Msigwa kuomba radhi?Ngoma draw...tujengeni nchi
Mkuu wa kaya from Kolomije...Nimeona press release toka kurugenzi ya mawasiliano ikulu ikipotosha kuhusu makubaliano ya malipo ya good faith toka Barrick.
Kwa kweli ni aibu kama waraka huu umetoka ofisi kuu hapa nchini. Hii inaonyesha ofisi hii haiko makini kabisa na huenda kuna mengi ya hovyo yanaendelea pale kwa kukosa weledi na umakini.
Ni aibu tupu. Tuwafanyeje hawa watu?
Huyu hajazipika, amezikaanga kabisaSasa Magu katwambia mtu "atakayepika" takwimu afungwe miaka 2 jela
Je huyo "aliyepika" takwimu toka Ofisi kubwa nchini, naye atafungwa??
Mfano wetu ni Rwanda mkuu.. usijisahauLanguage Log » The error in Obama's inauguration speech
Kama waandishi wa speech za rais wa marekani hukosea....sisi ni nani tusiweze kukosea?? Tatizo mkiishiwa hoja mnahamia kwenye vihoja
Mkuu ni zaidi ya Shilingi Trillion 1,400. Sasa kama zile Trillion 425 tungepewa Noah jee hizi watu wangekuwaje?Samahani wakuu dolla za kimarikani bilioni 700 kibongobongo bei gani?
Hivi kweli Kurugenzi Habari ya Ikulu inatoa numerali zisizo sahihi na Msigwa anabariki kwa kumwaga wino kwa mikono yake kweli ile sheria ya takwimu wanaitambua?Mkuu ni zaidi ya Shilingi Trillion 1,400. Sasa kama zile Trillion 425 tungepewa Noah jee hizi watu wangekuwaje?
Huku kuabfika tamko na bila kuhakiki siku moja watakosea jina la marehemu na kumtaja aliye madarakani na kuzua tafrani
Marekani ni nani mpaka ujilinganishe naye?mbona unajitoa utu wako kijinga hivyo?Language Log » The error in Obama's inauguration speech
Kama waandishi wa speech za rais wa marekani hukosea....sisi ni nani tusiweze kukosea?? Tatizo mkiishiwa hoja mnahamia kwenye vihoja
Hii kali na inaonekana hata msigwa hakuelewa yule mzungu alikuwa niniNimeona press release toka kurugenzi ya mawasiliano ikulu ikipotosha kuhusu makubaliano ya malipo ya good faith toka Barrick.
Kwa kweli ni aibu kama waraka huu umetoka ofisi kuu hapa nchini. Hii inaonyesha ofisi hii haiko makini kabisa na huenda kuna mengi ya hovyo yanaendelea pale kwa kukosa weledi na umakini.
Ni aibu tupu. Tuwafanyeje hawa watu?
mbona.mnasema wanaopotosha takwimu washitakiwe, wakati huo nyie mnapotoshaLanguage Log » The error in Obama's inauguration speech
Kama waandishi wa speech za rais wa marekani hukosea....sisi ni nani tusiweze kukosea?? Tatizo mkiishiwa hoja mnahamia kwenye vihoja
Umeona tena jana kwenye kutunuku vyeti vya Kamati ya Makinikia!!Makosa yamejirudia tena. Ikaandikwa mwanzoni kuwa Mama Salma Kikwete ameteuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum. Pamoja na kwamba masahihisho yameshafanyika,umakini unahitajika sana.