anjo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2009
- 299
- 97
"Katika kunufaika zaidi na habari za ofisi ya Rais, Blog ya Muhidin Issa Michuzi imeweka kizuio, kwa kiingereza wanasema, block visitors from right clicking or disable "copy and paste" to protect blog source code ili kuhakikisha habari za Rais Kikwete haziwezi kuchukuliwa na media au blog nyingine baada ya kuziweka kwenye blog yake."
Kuiacha kwa maksudi/malengo Tovuti Rasmi ya Ikulu iwe outdated kwa mlengo wa kukasimisha habari wakati kuna watu wanalipwa kwa kazi hiyo ni ufisadi na wizi wa pesa za walipa kodi wa nchi.
Hii nayo ni "ESCROW" nyingine kwa mtindo mwingine.
Technology inasonga mbele na hakuna uwezo wa kufunga. Nieleze picha yoyote unayohisi imezuiliwa niilete kwenye hii forum.