he he heKurugenzi ya Mawasiliano Ikulu inapaswa kuwa tulivu inapotoa taarifa zake kwa umma. Kwanza huu siyo mwaka 2016 ni 2018. Pili ni lugha; sidhani kama ni sahihi kusema Rais wa sasa AMEMTUMA mtangulizi wake. Rais Mstaafu ANAOMBWA, hatumwi. View attachment 846435
Anajukumu zito la kuikwamua nchi kutoka mikono hatarishi ya walanguzi na wezi wa mali za umma ili kuwaneemesha true voters waliomchagua.
Hakuna kitu kama hichoAnajukumu zito la kuikwamua nchi kutoka mikono hatarishi ya walanguzi na wezi wa mali za umma ili kuwaneemesha true voters waliomchagua.
Kwa sasa atasema kafiwa.
Hilo lilishamshinda siku nyingi...Anajukumu zito la kuikwamua nchi kutoka mikono hatarishi ya walanguzi na wezi wa mali za umma ili kuwaneemesha true voters waliomchagua.
Lugha gani mkuu....ya Malkia?Anaogopa kutokana udikteta wake pia lugha inachangia
unataka kusema mwanaume anayenunua machangudoa hawezi kuitunza familia yake?Hilo lilishamshinda siku nyingi...
Kwasasa anasimamia zaidi manunuzi ya wapinzani na kuhakikisha nchi inakuwa busy kufanya chaguzi za marudio kila kukicha.