VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,800
Kurugenzi ya Habari CHADEMA mbona mmekuwa kimya sana? Taarifa zenu za mwisho ni mkutano wa tarehe 7/12/2013.Vipi? Tuyaamini yanayoletwa humu mtandaoni kama yalivyo? Ni kuhusu ziara inayoendelea ya Katibu wenu Mkuu,Dr. W. P. Slaa. Njooni mtuhabarishe kinachoendelea huko Kigoma. Mkituacha hivi,tutaamini habari hizi hizi zilizopo humu.
cc Tumaini Makene
Molemo
Ben Saanane
Yericko Nyerere
sixgates
TUNTEMEKE
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
cc Tumaini Makene
Molemo
Ben Saanane
Yericko Nyerere
sixgates
TUNTEMEKE
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Last edited by a moderator: