Cincinnati
Member
- Jul 23, 2019
- 24
- 8
Wakuu, habari. Wiki iliyopita nilienda ATM kutoa pesa shs laki 3. Baada ya kuingiza kadi na kucommand itoe pesa, ghafla ATM card yangu ilimezwa na ATM ikazima na kuwaka tena ndani ya sekunde kadhaa bila kutoa pesa yoyote wala risiti. Ila kwenye simu yangu ikaingia message kuwa nimeitoa ile pesa na salio limepungua.
Sikupoteza muda nikaenda branch wakasema pesa itarudi ndani ya masaa 24. Nimekaa leo ni siku ya 5 kila nikiangalia salio hamna kitu. Msaada kwa anaejua haya mambo, ni steps gani napaswa kufata nirudishiwe pesa yangu maana nina wasiwasi na majibu ya wafanyakazi wa pale sio mazuri
Sikupoteza muda nikaenda branch wakasema pesa itarudi ndani ya masaa 24. Nimekaa leo ni siku ya 5 kila nikiangalia salio hamna kitu. Msaada kwa anaejua haya mambo, ni steps gani napaswa kufata nirudishiwe pesa yangu maana nina wasiwasi na majibu ya wafanyakazi wa pale sio mazuri