Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,005
- 173,646
Hao washenzi ndio wameharibu watoto wa kike ulaya wamekuwa na viburi hata kuolewa hawawezi sababu ya kuwakumbatia kwenye kila upumbavu wanaoufanya!Mabeberu wamefanya kazi nzuri sana katika kuibana serikali.MaCCM yanaruhusu hawa malaika kurudi shule kishingo upande huku yakiwa yamenuna😁😁😁
Ninyi serikali haramu nuneni, kasirikeni, fokeni, lakini mtoto wa kike lazima apate elimu bila ya ubaguzi wowote ule🤗🤗🤗
View attachment 2025957