reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 11,900
- 27,922
Acheni watoto nafasi wasome...mngejua mtoto wa kike anavopata shida ktk elimu mngewaacha tu!kwa walosoma Day scholars watanielewea nimesoma DSM firm Primary mpk High school...Changamoto ni kubwa enzi zetu kulikua hakuna bodaboda wala bajaj,madaldala haya madereva na kondakta ilikua inahitajika muongozo wa Mungu tu tusijihusishe kwenye mapenzi,bado wahuni wa mitaani plus wanafunzi wenza wa kiume..
Kuna wanafunzo wanatiwa mimba na wazazi wao (baba zao kabisaa wa kuwazaa),kaka zao,babu zao n.k Km mlezi au mzazi ambae jamii imemuamini anamtia mimba anaemlea unategemea kizazi cha aina gani au kosa La huyu binti ni lipi?
Serikali haijakurupuka juu ya hili namuunga mkono Maza 100% kuna mengi mitaani,mashuleni na katk mazingira mengine mabinti wanakutana nayo hvyo kwa mtoto aliyepata mimba kwa bajati mbaya akizaa na kurudo shule atasoma..ila kama alikua mcharuko hatarudi shule tena ataishia tu kuhangaika baasi..na sio wote watarudi shule.Hakua kazi ngumu kama kulea!
Kuna wanafunzo wanatiwa mimba na wazazi wao (baba zao kabisaa wa kuwazaa),kaka zao,babu zao n.k Km mlezi au mzazi ambae jamii imemuamini anamtia mimba anaemlea unategemea kizazi cha aina gani au kosa La huyu binti ni lipi?
Serikali haijakurupuka juu ya hili namuunga mkono Maza 100% kuna mengi mitaani,mashuleni na katk mazingira mengine mabinti wanakutana nayo hvyo kwa mtoto aliyepata mimba kwa bajati mbaya akizaa na kurudo shule atasoma..ila kama alikua mcharuko hatarudi shule tena ataishia tu kuhangaika baasi..na sio wote watarudi shule.Hakua kazi ngumu kama kulea!