Aaaah hapo shida co wachina shida n viongoz wasio n maarifa imagine umeruhus kitu Kam hiko kitokee lkn pia imagine n kwa kias gan tunaenda kulipeleka taifa pabaya maan hapo mwanzo Sheria ilikua n ngum n mimb walikua wanapat bila hofu yeyote je walivokua huru itakuwaj??Bora kujikabidhi kwa mabeberu kuliko kwa wachina, beberu hata uzidiwe vipi na deni lake akamati mali na aachi kukukopesha. Mchina atakamata Bandari, airport, ziwa victoria, mlima kilimanjaro.
Beberu anahofu ya Mungu Mchina amjui Mungu pesa mbele utu nyuma.