popiexo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 742
- 182
Katika kipindi hiki ambacho tumepoteza imani na Serikali chini wa waziri mkuu Pinda, Ni vyema JK akamteua Samwel Sita awe waziri mkuu. Hii itamsaidia angalau kumaliza muda wake wa urais kwa heshima mbele. Huu ni wakati muafaka kwa JK kufanya maamuzi magumu kuipa heshima nafasi aliyonayo.