Kuna watu wanaogopwa na mafisadi, na wanaweka shinikizo wasipate nafasi nyeti. lakini wanamuharibia raisi wetu.
Mfano:
1. Six
2. Pombe M
3. Mwakembe
4. Mwamri
Nafikiri hivi vyote ni vichwa vizuri na vina msimamo, at least 50% ya Sokoine. Lakini wanaogopwa hao!!!!
Katika wanaccm waliobaki, ni heri akamchukua Pombe Magufuri kama waziri mkuu, maana angalau ni mtendaji na si mtu wa kulialia kwa kulaumu ambayo yako chini ya uwezo wake; ukiwa na Rais wa maneno tu unahitaji waziri mkuu wa vitendo. Ni tofauti na sasa wote ni wa kulalamika tu!!