BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Kwa nini wanaume wengine ni shughuli kurudia sex baada ya bao la kwanza?
Kwa maoni yangu hapa tatizo ni wote. Nanino haitumii mota hivyo baada ya kumaliza tound ya kwanza mtu inabidi akusanye nguvu kwa round nyingine ingawaje kuna baadhi ya waliojaliwa wanaweza kuunganisha round nyingine bila kupumzika.
Nasema tatizo ni wote kwa sababu, wanaume wengi kwa hofu ya kushindwa kperform round nyingine hawataki kabisa kuguswa bali wanataka kupumzika na wengine huchapa hata usingizi ha ha ha ha na kukoroma juu LOL! na Wanawake wanasubiri njemba ikusanye nguvu ili mchezo uendelee na baadhi hawajui wafanye nini ili kumsaidia njemba aweze kuendelea na round ya pili.
Naam, hili la utazunguka butcher zote nyama ni ile ile halina ukweli wowote. Wale mliowahi kula nyama ya kongwa mnajua tofauti ya nyama ya kongwa na nyama ya vingunguti. Kuna mwenzetu hapa alitwambia siku chache kwamba alipokuwa Mbeya kikazi alijichukulia changu doa ambaye alikuwa ana ngozi laini kama ya mtoto na alidai aliweza kwenda round tano bila mtatizo yoyote kitu ambacho alikuwa hajawahi kabisa maishani mwake. Kwa hiyo machoni nyama inaweza kuonekana ni ile ile, lakini kwenye ladha kuna tofauti kubwa sana.
Kinachotakiwa kufanyika baada ya round ya kwanza ambao wote si ajabu mtakuwa mnahemea masikioni ha ha ha ha ni kupumzika kwa muda halafu kendelea na foreplay (kuchezeana) miili yenu kunyonyana na bila kuwa na haraka yoyote ya kuendelea na round nyingine, baada ya muda si mrefu njemba inaweza kabisa kuwa tayari ha ha ha ha kuendelea na round nyingine. Wanaume msiwe selfish lazima muhakikishe wanawake wenu na wao wanaenjoy katika tendo na nanino na kuna namna nyingi za kufanikisha hilo.
Bado sikubalini kabisa na wale wanaosema 'after all sex is over rated'. Mwambie mume aliyemfumania mkewe akiliwa uroda na njemba nyingine kama sex is overrated kama atakuelewa, mwambie mke aliyemfumania mumewe akila uroda wa rafiki mpenzi wa mkewe kwamba sex is overrated kama atakuelewa. In my opinion lovemaking is something very special and there is nothing in this World that we can compare to love making.
Watu wanaua au kuuwawa kutokana na mapenzi.