Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

MATATIZO mengi yanatokana na kujichanganya saaaaana - kukutana na ladha/vionjo tofauti vya kila aina hadi mwili unachanganyikiwa unashindwa ( confusion tupu.Performance inadorora).

Hapa ndo maana mi iwa nakuwa namiliki mizigo tofauti tofauti nina kiportable,bonge, namba 8 mwenye mfadhaiko, mrefu alafu nakuwa na short chesesi kisha nakuwa na white mwembamba kama wa pale Singida alafu na kuwa na kitu black cha tukuyu mwakareli. Kwa hiyo najinafasi mwenyewe unafanya cycle tu raha jipe mwenyewe.

WOS sitaki kipapatio mie nataka paja mie mambo ya mwambao hayo.
 
kisha nakuwa na white mwembamba kama wa pale Singida.

We Fidel ni mchokozi... Mbona unamchokoza Mrs Bond wakati unajua ni

mgeni kwenye JF, hata wiki hana huyo..!!! Figa yake inakuchanganya ee?

Ni mke wa mtu huyo..na watu wa Singida ni wakorofi

mbaya... wanakatakata na viwembe!!!..Shauri yako..
 
We Fidel ni mchokozi... Mbona unamchokoza Mrs Bond wakati unajua ni

mgeni kwenye JF, hata wiki hana huyo..!!! Figa yake inakuchanganya ee?

Ni mke wa mtu huyo..na watu wa Singida ni wakorofi

mbaya... wanakatakata na viwembe!!!..Shauri yako..

hehehe mkuu mke wa mtu mtamu ila ukikamatwa majuto mjukuu.
Ila si unajua penzi la kificho lilivyo taamu yaani la kuibia dah balaa.
 
hehehe mkuu mke wa mtu mtamu ila ukikamatwa majuto mjukuu.
Ila si unajua penzi la kificho lilivyo taamu yaani la kuibia dah balaa.

Hamna kitu....Mtamu, kwani mashine yake ina mpya gani wewee? Ni

ileile kama ya yule Chausiku wako!!! te he te heee !! Hv hujawahi

kutolewa meno ya barazni?
 
Hamna kitu....Mtamu, kwani mashine yake ina mpya gani wewee? Ni

ileile kama ya yule Chausiku wako!!! te he te heee !! Hv hujawahi

kutolewa meno ya barazni?


Yeah mkuu mke wa mtu sumu hafai mwogope kama UKIMWI hata akikuhonga vp mkimbie ingawa watamu lakini ukija fumwa utatembezwa uchi mtaani.
 
Nimefanya utafiti kwenye site mbali mbali kama vile ummah.com nimeona hii issue imekaa kidini zaidi na haina logic ya kitaalamu.

Nilipost hii thread coz huku ZNZ ukionekana na Gold unaaambiwa "sio nzuri kwa wanaume".
 
Polygamy should never be legalised as it brings many disasters in families. Aids is one of the possibilities but also peace usually goes away.
 
Polygamy should never be legalised as it brings many disasters in families. Aids is one of the possibilities but also peace usually goes away.

Havijawa karibu jamvini na hapa mezani kuna hoja ya kuwa dhahabu zinapunguza nguvu za kiume, hilo dukuduku lako la polygamy unaweza kwenda kulitoa kwenye thread nyingine ya polygamy should be legal?
 
Kama ndiyo hivyo basi hata nguo tunazovaa kila siku zinapunguza nguvu za kiume.

Wajameni tuanze kutembea uchi ili kusevu mambo!

Manake, Duh... Wamezidi sasa, kila kitu kinaathiri nguvu za kiume tu mbona za kike sijawahi kusikia zinaathiriwa na kitu chochote????
 
Kuna uvumi (hear say) kuwa mwanaume akivaa madini dhahabu itamwathiri kwa kumpunguzia uwezo wake kweny yale mambo yetu yalee! Wadau kuna ukweli wowote?

Nadhani hiyo si dhahabu bali uranium ambayo pengine imechanganywa na dhahabu. Na kama ina mchanganyiko na uranium basi athari si hapo tu unapozungumzia bali mwili wote.
 
Matikiti Maji Yanaongeza Nguvu za Kiume

Watafiti wa nchini Marekani wamegundua kwamba matikiti maji yanaongeza nguvu za kiume na yanasaidia kutoa tiba kwa wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume.

Watafiti katika chuo kikuu cha Texas A&M wamegundua kwamba matikiti maji yanaweza yakatumika kama "Viagra ya Asili" kwa wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

Watafiti hao walisema kuwa tikiti maji lina amino acid nyingi za citrulline ambazo huifanya mishipa ya damu itanuke na iwe katika hali kama ile ambayo mtu anayetumia viagra au madawa ya kuongeza nguvu za kiume huwa nayo.

Citrulline ikiwa mwilini hugeuka kuwa "arginine" mojawapo ya aina za amino acid. Hali hii husababisha kuongezeka kwa kiwango cha nitric oxide kwenye damu. Nitric oxide husaidia kuifanya mishipa ya damu itanuke.

Hata hivyo watafiti hao hawakuweka wazi idadi ya matikiti maji ambayo mwanaume anatakiwa kula ili aweze kuwa na nguvu za kiume kama za viagra.

Bhimu Patil, mkurugenzi wa maabara iliyofanya utafiti huo alisisitiza kuwa ulaji wa tikiti maji wa mara kwa mara unasaidia kuzuia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Mojawapo ya faida nyingine ya tikiti maji iliyotajwa ni kusaidia kushusha shinikizo la damu.
 
Nice Discovery,lakini wadau haya matikiti maji bila shaka yana msimu!!!Kwa mwaka yanapatikana kwa kipindi fulani tu then jiiiiiii!!mpaka mwakani.
 
Nice Discovery,lakini wadau haya matikiti maji bila shaka yana msimu!!!Kwa mwaka yanapatikana kwa kipindi fulani tu then jiiiiiii!!mpaka mwakani.

Nani kasema tikiti maji lina msimu? Kilimo chetu ndo kimefanya tikiti maji liwe la msimu. Inachukua siku 70 mpaka 90 kutoka kupanda mpaka kuvuna.

Tatizo ni kwamba ukipanda wakati wa mvua utatakiwa kutumia dawa ili kupunguza fungus/ukungu.Wakulima wetu mitaji midogo.
 
Hakika ni habari njema sana,hasa kwa wale wenye matatizo ya nguvu za kiume.Hakuna haja tena ya kutumia mkunyati n'k.YoYo umesikia mambo hayo?
 
Bado haisaidii sana maana ugunduzi wenyewe hauko clear. Ule mangapi? Kwa muda gani? Medication lazima iende na dosage
 
Nadhani whether yanaongeza ama la ni vizuri tu kuyala mara kwa mara. Itaongeza ata nguvu zingine si lazima za kiume tu
 
idadi ni at least matatu (3) kwa siku kwa mtu mmoja. Sio ule vipande njiani Ubungo halafu uanze kufikiri kuwa leo demu wako atakukoma
At least matatu (3), dah basi ipo kazi... wastani wa tikiti maji moja ni kama kilo na nusu sasa yakiwa matatu karibia kilo tano hapo...!

Wakulima soko hilo, mshatangaziwa... sasa kazi kwenu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom