Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 170
Wana JF;
hapana shaka kuwa kurejea tena kwa JF kutawasisimua sana hata wale ambao hawakuwa wakifuatilia ukumbi huu wa majadiliano. Je, mnadhani baada ya zogo lile kupita, JF itapata umaarufu zaidi au kukamatwa kwa vijana wawili wale kutaipunguzia heshima mbele ya jamii?
Mimi nadhani kashkash zilizotokea zinaifanya JF kuzidi kung'ara. Nategemea maelfu ya wanachama wapya kujiunga na forum hii miezi ya hivi karibuni, na hii italeta wigo mpana zaidi wa sehemu ya mijadala kwa kutumia teknolojia ya kiasasa zaidi ya mawasiliano.
hapana shaka kuwa kurejea tena kwa JF kutawasisimua sana hata wale ambao hawakuwa wakifuatilia ukumbi huu wa majadiliano. Je, mnadhani baada ya zogo lile kupita, JF itapata umaarufu zaidi au kukamatwa kwa vijana wawili wale kutaipunguzia heshima mbele ya jamii?
Mimi nadhani kashkash zilizotokea zinaifanya JF kuzidi kung'ara. Nategemea maelfu ya wanachama wapya kujiunga na forum hii miezi ya hivi karibuni, na hii italeta wigo mpana zaidi wa sehemu ya mijadala kwa kutumia teknolojia ya kiasasa zaidi ya mawasiliano.