Mbangubangu
Senior Member
- May 6, 2013
- 188
- 69
Natumaini tumemaliza sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa yesu salama.
Sasa me naomba kujuzwa.kipi kinamfanya mwanamke/mwanaume kuridhika ktk mapenzi.
Mimi binafsi nimeona mwanamme yeye kufika kwake kileleni ndio kuridhika kwake na pindi afikapo wale atakikujitesa anapumzika na kusubiri tena mpini ukae sawa aanze tena na wengi wanaviwango vyao vikifika kama ni goli 1,2 ,3 au zaidi yy ndio basi shughuli imekwisha.
Kwa wanawake naona wanashida sana wao kufika kileleni.hii yote ni kutokana na maumbile yao.Lakini wapo ambao wanaweza wasifike kileleni bt still wakawa wanafurahia mapenzi na anakuwa na furaha pale mwanaume anayeshiriki nae tendo anavyoridhika.
Naomba kujuzwa zaidi kutokana na utaalamu wenu wadau.
Sasa me naomba kujuzwa.kipi kinamfanya mwanamke/mwanaume kuridhika ktk mapenzi.
Mimi binafsi nimeona mwanamme yeye kufika kwake kileleni ndio kuridhika kwake na pindi afikapo wale atakikujitesa anapumzika na kusubiri tena mpini ukae sawa aanze tena na wengi wanaviwango vyao vikifika kama ni goli 1,2 ,3 au zaidi yy ndio basi shughuli imekwisha.
Kwa wanawake naona wanashida sana wao kufika kileleni.hii yote ni kutokana na maumbile yao.Lakini wapo ambao wanaweza wasifike kileleni bt still wakawa wanafurahia mapenzi na anakuwa na furaha pale mwanaume anayeshiriki nae tendo anavyoridhika.
Naomba kujuzwa zaidi kutokana na utaalamu wenu wadau.