Nina Sumsung J1 vip yenyewe haiwezi kua na Matatizo ayo?Madhara yapo kwa baadhi ya simu. kuna simu nyingine inaweza kupoteza imel kwa mfano samsung note 3. uki reset nyingi huwa zinapoteza imel
Na kuna simu nyingine ukireset inaweza kuishia njiani nk.
Lakini kuna nyingine hata ureset mara 100 haiwezi kuleta shida yoyote.