Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,445
- 25,727
Habari wanaJamii.
Kuna hili swala la TRA kuhesabu(kukata) na miaka ambayo leseni ilikua imeisha muda wake pindi unapoenda kuRenew.
Mfano; leseni yangu imeisha muda wake mwaka 2016, nikaja kuRenew mwaka 2019, unashangaa unaambiwa muda wake umeisha tayari inabidi ulipie tena upate miaka 3 mingine..(hiki ni kipindi kile cha miaka 3 ya leseni kuwa legal) kwahiyo kama ningelipia mwaka ule ule 2016 ingedumu hadi 2019.
Nashindwa kuelewa kwanini inakua hivi maana kuna wengine wanaweza kusafiri nje ya nchi kikazi au kimasomo kwa miaka kadhaa, wakirudi inawabidi walipie miaka yote hata kama hawakuitumia!!!
Sijajua ni sheria au ni utaratibu tu uliwekwa....nimekua najiuliza sana hili swala, kama kuna mwenye uelewa zaidi naomba anisaidie kunielewesha hili swala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hili swala la TRA kuhesabu(kukata) na miaka ambayo leseni ilikua imeisha muda wake pindi unapoenda kuRenew.
Mfano; leseni yangu imeisha muda wake mwaka 2016, nikaja kuRenew mwaka 2019, unashangaa unaambiwa muda wake umeisha tayari inabidi ulipie tena upate miaka 3 mingine..(hiki ni kipindi kile cha miaka 3 ya leseni kuwa legal) kwahiyo kama ningelipia mwaka ule ule 2016 ingedumu hadi 2019.
Nashindwa kuelewa kwanini inakua hivi maana kuna wengine wanaweza kusafiri nje ya nchi kikazi au kimasomo kwa miaka kadhaa, wakirudi inawabidi walipie miaka yote hata kama hawakuitumia!!!
Sijajua ni sheria au ni utaratibu tu uliwekwa....nimekua najiuliza sana hili swala, kama kuna mwenye uelewa zaidi naomba anisaidie kunielewesha hili swala.
Sent using Jamii Forums mobile app