Kurejeshwa kwenye Cabinet kwa mawaziri Simbachawene na Mwigulu - tatizo ni bulb au holder?

toka nimezaliwa sijawahi kusikia popote duniani eti waziri wa katiba na sheria ambaye hana elimu ya sheria...haya ni maajabu duniani!.

kwa uelewa wangu mdg, baadhi ya wizara ni lazima waziri awe na taaluma husika

Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu si sifa ishu unatumia vipi mda wako kusifu na kuabudu hata wwe ukiongeza bidii atatumbuliwa mwingine utapewa
 
Simbachawene hakuondolewa kuwa na kimbukumbu

Nchemba kichwa chake kipo vizuri naona leo ufipa hamlali mnalialia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi mnaosapoti jiwe ni mangosha kwa kuwa mpo kwenye timu bashite. Mnatia aibu sana nchi hii mambo yenu ya kienyeji yanajulikana ni swala la muda tu. Nchi sasa inaongozwa king’ombe ng’ombe kabisa.
 
Yaani ukitaka kujua namna Jiwe "anavyochemka" katika teuzi zake ni huu wa Mwigulu!

Hakuna kiongozi ambaye ni kigeugeu, ambaye Taifa hili limepata kuwa naye kama Jiwe!

Hivi Mkuu wa nchi unawezaaje kutokea mbele ya hadhara na kuanza kumponda mteule wako kwa kashfa chungu mzima, kama alivyofanya kwa Mwigulu??

Haijapita hata miaka 2 unamrejesha yule yule uliyemuona takataka hapo siku za nyuma!

Huo ni ushahidi tosha kabisa kuwa kumbe kashfa zote ulizotoa wakati ule ilikuwa majungu!

Hivi kweli hakuna wananchi wengine ambao wako competent kushika nyazifa hizo??
Chodomo mmepata pa kusemea. Tatizo lenu huwanasubiri hadi watawala wafanye kitu ndo muanze kuropoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.

Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.

Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.

Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums

Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?

Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Atakuwa aliwapeleka chuo, na sasa wamehitimu vizuri amewarudisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwigulu na chawene ni Tiss inaonekana wamekuwa wakimpa taarifa nyeti sana pamoja na kutolewa kwenye vyeo vyao bado walikuwa loyal na mfumo na walikuwa wanaendelea kumshahuri Mzee Kwa karibu zaidi, Kwa kaona Bora awarejeshe waendelee Kula maisha
 
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.

Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.

Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.

Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums

Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?

Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Tatizo ni wiring yote. Dawa ni kufumua yote kuanzia kwenye main switch
 
Back
Top Bottom