M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,019
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.
Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.
Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.
Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums
Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?
Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?
Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.
Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.
Jee, walipoondolewa walikuwa wametolewa kama mbuzi wa kafara tu kuficha udhaifu wa watu wengine kwa wakati ule au tuhuma zile zilikuwa ni za kweli? Kama tuhuma zilikuwa ni za kweli, inakuwaje wamerejeshwa kwenye baraza kabla ya tuhuma dhidi yao hazijawa cleared? Soma Rais Magufuli aeleza sababu 13 za kumfukuza kazi Mwigulu Nchemba - JamiiForums
Sasa wananchi tujue kipi kuhusu kiini cha tatizo....ni mamlaka ya uteuzi au wateuliwa wenyewe?
Jee, tatizo ni bulb au holder kama huyu mdau wa Twitter alivyouliza?